Lissu: Askari wanatumika kuiua CHADEMA
MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema chama hicho hakitarudi nyuma katika kutetea haki na matumaini ya Watanzania, wakiwemo askari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia16 Mar
When Lissu differed with Chadema politicians
IPPmedia
The Singida East Member of Parliament, Tundu Lissu is well known for exemplary performance in the august house since he joined the National Parliament after the 2010 elections. Mr Lissu, who revels in bashing the government in Parliament, has found ...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/s93Zy4xNeZ0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EL5eo9bWOHw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Lissu akerwa na uongozi wa Chadema Singida kwa kumdodesha
Mwenyekiti CHADEMA jimbo la kanda ya kati, Tundu Lissu, akihutubia wana CHADEMA na baadhi ya wakazi wa manispaa ya Singida kwenye viwanja vya Peoples mjini Singida.Tundu pamoja na mambo mengine, amewahimiza wananchi kuikataa rasimu ya katiba mpya kwa madai kwamba imechakachuliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
IDADI ndogo ya wanachama na wasio wanachama wa CHADEMA waliohudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya mwenyekiti wa jimbo la kanda ya kati, Tundu Lissu, kuzungumza nao,...
11 years ago
Habarileo06 Jan
Lissu: Zitto alianza siku nyingi kuchafua Chadema
LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Lipumba: Twaweza wanatumika
SIKU mbili baada ya Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti kuhusu masula ya siasa, jamii imegawanyika. Mgawanyiko umezua pande mbili moja ikiunga mkono utafiti huo nyingine...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8Q3RNVOW9bY/VRWEaN4RiQI/AAAAAAAAq0c/9qzzVl5pYRI/s72-c/Tundu-Lisu.jpg)
LISSU AWAZUIA WABUNGE WA CHADEMA KUHUDHURIA UZINDUZI WA ACT-WAZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Q3RNVOW9bY/VRWEaN4RiQI/AAAAAAAAq0c/9qzzVl5pYRI/s640/Tundu-Lisu.jpg)
Lissu awazuia wabunge wa chadema kuhudhuria uzinduzi wa act-wazalendo.Lissu awazuia wabunge wa Chadema kuhudhuria Uzinduzi wa Chama cha ACT-WAZALENDO. Amesema atakaye hudhuria ni msaliti ndani ya Chadema na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya mbunge huyo
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/GND0hCJtBx4/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%2BTundu.jpg)
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU
![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%2BTundu.jpg)
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...