Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba: Twaweza wanatumika

SIKU mbili baada ya Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti kuhusu masula ya siasa, jamii imegawanyika. Mgawanyiko umezua pande mbili moja ikiunga mkono utafiti huo nyingine...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Askari wanatumika kuiua CHADEMA

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema chama hicho hakitarudi nyuma katika kutetea haki na matumaini ya Watanzania, wakiwemo askari...

 

10 years ago

TheCitizen

Experts’ take on Twaweza research

The Citizen on Sunday sought views from experienced researcher, Mr Aidan Eyakuze on the research results published by twaweza. here is what he said;

 

10 years ago

Michuzi

TWAWEZA: JE, TUKO SALAMA?

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
 WANANCHI watatu kati ya kumi  wameshakumbana na  wizi ndani ya kipindi cha mwaka  jana,na asilimia 84 ya wananchi  wanaamini kuwa kuna uwezekano wa kuathiriwa na makundi ya vijana waharifu kama panya road.
 Hayo yameelezwa kwenye Utafiti umefanywa na Twaweza kwenye utafiti wenye jina la Je, tuko salama? maoni ya wananchi juu ya usalama na haki waliofanya mkutano katika ukumbi wa mikutano  wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mtafiti wa twaweza...

 

10 years ago

TheCitizen

Eyakuze new Twaweza boss

Twaweza East Africa yesterday announced the appointment of Aidan Eyakuze as its new boss, as successor of the founder and current head, Rakesh Rajani.

 

9 years ago

Mtanzania

Twaweza wazua mjadala

mtz1NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Twaweza umepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali.

Kwa mujibu wa utafiti huo uliotangazwa jana, kama uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani ungefanyika leo, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, angeibuka na ushindi wa asilimia 65, huku mgombea wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, akipata asilimia 25.

 

Akitangaza matokeo ya Twaweza Dar es Salaam  jana, Mkurugenzi Mtendaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti wa Twaweza watikisa nchi

Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu ya uongozi wa kisiasa nchini, umeibua madai mapya ambayo yanauhusisha na jitihada za kukisaidia chama tawala CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani.

 

10 years ago

Habarileo

Slaa apinga utafiti wa Twaweza

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa SIKU moja baada ya Taasisi ya Twaweza kuanika matokeo ya utafiti wake, uliofanywa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani, wanasiasa na wasomi mbalimbali wameupokea kwa hisia tofauti.

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti Twaweza waibua maswali 14

Siku moja baada ya taasisi ya Twaweza kutoa ripoti ya maoni ya wananchi kuhusu uchaguzi wa Oktoba 25, maswali yameibuka kwenye mijadala mbalimbali miongoni mwa wananchi, yakihoji jinsi maoni hayo yalivyokusanywa, wafadhili wa utafiti na namna maamuzi kadhaa yalivyofikiwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania must ‘see’ beyond Twaweza research findings

This week the Tanzania scene was shaken by a survey conducted by Twaweza -- a research based civic organization -- following the release of findings on the forthcoming General Election. Almost everybody is angry with the findings.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani