Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa apinga utafiti wa Twaweza

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa SIKU moja baada ya Taasisi ya Twaweza kuanika matokeo ya utafiti wake, uliofanywa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani, wanasiasa na wasomi mbalimbali wameupokea kwa hisia tofauti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Utafiti wa Twaweza, Dk Slaa adai ripoti imeandaliwa na Dk Bana kuibeba CCM

Mkurugenzi Mstaafu waTaasisi ya Utafiti ya Twaweza, Rakesh Rajan (kulia) akiwaelezea jambo Mwenyekiti wa Bodi ya Uhariri ya Raia Mwema, Jenerali Ulimwengu (kushoto) na Mkurugenzi wa Compass Communication Limited, Maria Sarungi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa kabla ya taasisi hiyo kutangaza matoke ya utafiti wao kuhusu Tanzania Kuelekea 2015, jijini Dar es Salaam juzi. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti wa Twaweza watikisa nchi

Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu ya uongozi wa kisiasa nchini, umeibua madai mapya ambayo yanauhusisha na jitihada za kukisaidia chama tawala CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani.

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti Twaweza waibua maswali 14

Siku moja baada ya taasisi ya Twaweza kutoa ripoti ya maoni ya wananchi kuhusu uchaguzi wa Oktoba 25, maswali yameibuka kwenye mijadala mbalimbali miongoni mwa wananchi, yakihoji jinsi maoni hayo yalivyokusanywa, wafadhili wa utafiti na namna maamuzi kadhaa yalivyofikiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa waibua maswali 18 utafiti Twaweza

Matokeo ya utafiti wa Twaweza kuhusu Uchaguzi Mkuu uliotolewa siku tatu zilizopita yameendelea kupingwa, safari hii Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ukiibua hoja tisa walizoita za propaganda na kasoro nyingine tisa za kiufundi.

 

9 years ago

GPL

ACT WAZALENDO WAZUNGUMZIA UTAFITI WA TWAWEZA

Kutoka kushoto ni,Mjumbe wa Chama Cha ACT Wazalendo,Emmanuel Mvula, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara na Mkurugenzi wa Kampeni za uchaguzi Taifa, Venance Msebo. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara (katikati) akisoma taarifa yake.…

 

9 years ago

Mwananchi

Sera kumweka Rais madarakani - utafiti Twaweza

Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa sera ndiyo kigezo muhimu watakachokitumia wananchi kumchagua Rais katika Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

Mwananchi

MSEMAKWELI : Utafiti wa Twaweza ni somo kwa CCM

Baada ya Twaweza kutoa ripoti ya maoni ya wananchi kuhusu Uchaguzi Mkuu, maswali mengi yaliibuka kwenye mijadala mbalimbali miongoni mwa wananchi, yakihoji jinsi maoni hayo yalivyokusanywa, wafadhili wa utafiti na namna maamuzi kadhaa yalivyofikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti Twaweza wataka Kiingereza kuanzia msingi

>Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza umebaini kuwa watu sita kati ya 10 wangependa Kiingereza kiwe lugha ya kufundishia katika shule za msingi na sekondari, wakati Sera ya Elimu iliyozinduliwa mwaka huu inaruhusu matumizi ya lugha hiyo sambamba na Kiswahili.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake wahoji suala la jinsia , utafiti wa Twaweza

Wakati wasomi na wanasiasa wakiendelea kuchambua matokeo ya utafiti wa Twaweza, baadhi ya wanawake wameukosoa kwamba haukuzingatia jinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani