ACT WAZALENDO WAZUNGUMZIA UTAFITI WA TWAWEZA
Kutoka kushoto ni,Mjumbe wa Chama Cha ACT Wazalendo,Emmanuel Mvula, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara na Mkurugenzi wa Kampeni za uchaguzi Taifa, Venance Msebo. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara (katikati) akisoma taarifa yake.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAKUBALI MATOKEO YA UTAFITI WA TWAWEZA
9 years ago
TheCitizen23 Sep
ACT-Wazalendo content with Twaweza poll
9 years ago
StarTV25 Sep
ACT Wazalendo waunga mkono changamoto zilizoainishwa na Twaweza
Siku chache baada ya TWAWEZA kutoa matokeo ya utafiti wa mgombea urais anayetajwa zaidi na wananchi, Chama cha ACT Wazalendo kimepokea utafiti huo kwa mtazamo chanya, kwa madai kuwa changamoto ambazo zimeainishwa na wananchi katika utafiti huo ndizo zilizopewa kipaumbe katika ilani yao.
Miongoni mwa changamoto ambazo ACT Wazalendo imeziainisha ni pamoja na elimu, afya, hifadhi ya jamii na uchumi shirikishi utakaozalisha ajira nyingi.
Akitoa ufafanuzi wa namna chama hicho kilivyoupokea...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
ACT yaanika matumizi yao ya kampeni, yasifu utafiti Twaweza
10 years ago
Habarileo14 Nov
Slaa apinga utafiti wa Twaweza
SIKU moja baada ya Taasisi ya Twaweza kuanika matokeo ya utafiti wake, uliofanywa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani, wanasiasa na wasomi mbalimbali wameupokea kwa hisia tofauti.
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Utafiti wa Twaweza watikisa nchi
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Ukawa waibua maswali 18 utafiti Twaweza
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Utafiti Twaweza wataka Kiingereza kuanzia msingi