Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT-Wazalendo content with Twaweza poll

The ACT Wazalendo have announced yesterday that they are content with Twaweza statistics released earlier this week as they reflect the major hurdles citizens face.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ACT WAZALENDO WAZUNGUMZIA UTAFITI WA TWAWEZA

Kutoka kushoto ni,Mjumbe wa Chama Cha ACT Wazalendo,Emmanuel Mvula, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara na Mkurugenzi wa Kampeni za uchaguzi Taifa, Venance Msebo. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara (katikati) akisoma taarifa yake.…

 

9 years ago

StarTV

ACT Wazalendo waunga mkono changamoto zilizoainishwa na Twaweza

 

Siku chache baada ya TWAWEZA kutoa matokeo ya utafiti wa mgombea urais anayetajwa zaidi na wananchi, Chama cha ACT Wazalendo kimepokea utafiti huo kwa mtazamo chanya, kwa madai kuwa changamoto ambazo zimeainishwa na wananchi katika utafiti huo ndizo zilizopewa kipaumbe katika ilani yao.

Miongoni mwa changamoto  ambazo ACT Wazalendo imeziainisha ni pamoja na  elimu, afya, hifadhi ya jamii na  uchumi shirikishi utakaozalisha ajira nyingi.

 Akitoa ufafanuzi wa namna chama hicho kilivyoupokea...

 

9 years ago

Michuzi

CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAKUBALI MATOKEO YA UTAFITI WA TWAWEZA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa wa chama cha ACT Wazalendo, Nixon Tugara akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya matokeo ya  utafiti wa Twaweza na nafasi ya Mgombea wa Urais wa chama cha (ACT)Wazalendo licha ya kuonesha hali hiyo sisi (ACT) wazalendo tunafarijika na matokeo ameyasema hayo katika mkutano huo uli0fanyika katika ukumbi wa makao makuu ya chama  hicho jijini Dar es Salaam  leo kulia ni Mjumbe wa kamati ya uchaguzi, Emmanuel Mvule.Baadhi ya...

 

9 years ago

TheCitizen

Ukawa: Twaweza poll results not credible

Speaking at a press conference in Dar es Salaam today NCCR Mageuzi national chairman Mr James Mbatia and Ukawa co-chairman, raised doubts about the credibility of the methodology used by Twaweza  in the recently published opinion poll.

 

10 years ago

TheCitizen

Twaweza poll shows CCM is favoured by unfair system

On Wednesday last week Twaweza released a survey on citizens’ preferences and views on political leadership that showed that about half of the respondents support CCM.

 

9 years ago

TheCitizen

Strong reaction as Twaweza poll shows Lowassa trailing

An opinion poll showing CCM candidate John Magufuli leading his Chadema rival Edward Lowassa by 40 per cent has drawn strong reaction from politicians and academicians.

 

9 years ago

Vijimambo

Addressing common concerns raised about Twaweza’s opinion poll survey

Much of the discussion in traditional media, on social media and elsewhere regarding our recently published opinion poll findings on Tanzanian politics has focussed on perceived errors in the brief. We want to correct three of the most common misunderstandings.
1. “Totals do not add up to 100%.”
It has been pointed out that several charts and tables in the brief include data that does not seem to add up to 100%. In some cases, the figures add up to 99%, 101% or 102%.

This is purely as a result...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT yaanika matumizi yao ya kampeni, yasifu utafiti Twaweza

Chama cha ACT-Wazalendo kimesema hadi sasa kimetumia Sh365 milioni kwa ajili ya kampeni inazofanya nchi nzima kushawishi wananchi wakichague katika nafasi za urais, wabunge na madiwani.

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani