Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT Wazalendo waunga mkono changamoto zilizoainishwa na Twaweza

 

Siku chache baada ya TWAWEZA kutoa matokeo ya utafiti wa mgombea urais anayetajwa zaidi na wananchi, Chama cha ACT Wazalendo kimepokea utafiti huo kwa mtazamo chanya, kwa madai kuwa changamoto ambazo zimeainishwa na wananchi katika utafiti huo ndizo zilizopewa kipaumbe katika ilani yao.

Miongoni mwa changamoto  ambazo ACT Wazalendo imeziainisha ni pamoja na  elimu, afya, hifadhi ya jamii na  uchumi shirikishi utakaozalisha ajira nyingi.

 Akitoa ufafanuzi wa namna chama hicho kilivyoupokea...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

ACT-Wazalendo content with Twaweza poll

The ACT Wazalendo have announced yesterday that they are content with Twaweza statistics released earlier this week as they reflect the major hurdles citizens face.

 

9 years ago

GPL

ACT WAZALENDO WAZUNGUMZIA UTAFITI WA TWAWEZA

Kutoka kushoto ni,Mjumbe wa Chama Cha ACT Wazalendo,Emmanuel Mvula, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara na Mkurugenzi wa Kampeni za uchaguzi Taifa, Venance Msebo. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa, Nixon Tugara (katikati) akisoma taarifa yake.…

 

9 years ago

Michuzi

CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAKUBALI MATOKEO YA UTAFITI WA TWAWEZA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa wa chama cha ACT Wazalendo, Nixon Tugara akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya matokeo ya  utafiti wa Twaweza na nafasi ya Mgombea wa Urais wa chama cha (ACT)Wazalendo licha ya kuonesha hali hiyo sisi (ACT) wazalendo tunafarijika na matokeo ameyasema hayo katika mkutano huo uli0fanyika katika ukumbi wa makao makuu ya chama  hicho jijini Dar es Salaam  leo kulia ni Mjumbe wa kamati ya uchaguzi, Emmanuel Mvule.Baadhi ya...

 

10 years ago

Habarileo

UN waunga mkono kazi ya Kikwete

Rais Jakaya KikweteJUMUIYA ya Kimataifa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini hapa, imeelezea msimamo wake thabiti wa kuunga mkono kwa dhati na kwa kila hali kazi na jukumu ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani la Kukabiliana na Majanga Duniani linaloongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Mwananchi

Uruwa waunga mkono juhudi za Dk Magufuli

Umoja wa Rufaa ya Wananchi (Uruwa) unaoundwa na vyama visivyopata ruzuku ya Serikali, wamepongeza utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Tano.     

 

9 years ago

Global Publishers

Wanyarwanda Waunga Mkono Mabadiliko ya Katiba

rwanda (5)Rais wa Rwanda, Paul Kagame.

Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba iliyopigwa jana nchini humo yanaonesha hivyo.

rwanda (1)Raia akipiga kura.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda inasema, asilimia 98 ya wapiga kura wameunga mkono marekebisho hayo ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania kwa muhula mwingine mwaka 2017, baada yake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wadhamini waunga mkono hatua ya Blatter

Wadhamini wakuu wa FIFA wameafiki tangazo la Bwana Blatter kujiuzulu, wakisema kuwa ni hatua bora kuelekea mageuzi ya shirikisho hilo.

 

10 years ago

Habarileo

VIP waunga mkono uchunguzi Escrow

KAMPUNI iliyokuwa na hisa katika Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), VIP Engineering and Marketing Limited, imesema kuwa inaunga mkono uchunguzi utakaobanisha ukweli kuhusu sakata la Sh bilioni 300 zilizokuwepo kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Mwananchi

Waunga mkono kauli za viongozi wa dini

Wanazuoni na wananchi mbalimbali wameunga mkono ushauri wa viongozi wa dini wa kuwataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuacha kuwatusi waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani