Uruwa waunga mkono juhudi za Dk Magufuli
Umoja wa Rufaa ya Wananchi (Uruwa) unaoundwa na vyama visivyopata ruzuku ya Serikali, wamepongeza utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Tano. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uqq0YjByJnw/Xpx6IIfsgQI/AAAAAAALnbo/9Sri98tOXbEoooftA9o5SeNrtGa1VaXWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200419-WA0062.jpg)
WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.
Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.
Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--FzVPiMLy4Q/Xn7tFUokayI/AAAAAAALlWw/r_ofO5ObZ0AQjr1wBi7BxSJ30cTPtjuuwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_123516_2%25281%2529.jpg)
WAMILIKI WA MAGARI YA MASAFA MAREFU ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA
Na Woinde Shizza,Arusha
CHAMA cha Wamiliki wa magari ya masafa marefu Mkoa wa Arusha ,TABOA,Hakiboa pamoja na wasafirishaji wenza wameiunga mkono serikali katika swala la kupiga vita ugonjwa wa Corona pamoja na kutoa elimu ya kuchukuwa taadhari kuhusu ugonjwa huo.
Ambapo wameamua kunua dawa ,mabomba ya kunyunyuzia dawa ,dawa za kunaiya mikono na ndoo 100 za kuwia mikono huku wakizindua rasmi mchakato wa upigaji dawa kwa vyombo vyote vya usafirishaji vilivyopo mkoani hapa.
Akizungumza wakati...
9 years ago
Mwananchi09 Dec
CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli -Kinana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s72-c/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s640/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8cf9ac02-75c0-49f3-8f9f-014f7118e2ab.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini Kenya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/610ad902-76de-4171-a950-c9ed91e9017b.jpg)
9 years ago
StarTV30 Nov
CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu
CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.
Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija kwa jamii badala ya manufaa ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s72-c/PICT%2B1.jpg)
Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s640/PICT%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ChLWGU5C00/VmkdQ6lhWvI/AAAAAAAILUA/qCqtFoEBANU/s640/PICT%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hsvWf774w14/VmkdRJbbAeI/AAAAAAAILUI/V2Ar_9G480g/s640/PICT%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GGtpUQ8JsXw/VmkdSo0z_tI/AAAAAAAILUY/085WMn6DFMc/s640/PICT%2B4.jpg)
5 years ago
MichuziTAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/GfibLpFIDb8/default.jpg)
10 years ago
Habarileo11 May
UN waunga mkono kazi ya Kikwete
JUMUIYA ya Kimataifa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini hapa, imeelezea msimamo wake thabiti wa kuunga mkono kwa dhati na kwa kila hali kazi na jukumu ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani la Kukabiliana na Majanga Duniani linaloongozwa na Rais Jakaya Kikwete.