Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s72-c/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini KenyaWaziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Mussa Issa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Dec
CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli -Kinana
9 years ago
StarTV30 Nov
CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu
CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.
Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija kwa jamii badala ya manufaa ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ncsdLsmgwwY/VloHIlOPppI/AAAAAAAAnm0/DnQOYxOUWR8/s72-c/MASAJU.jpg)
Watakaokwamisha juhudi za Rais Dkt. Magufuli katika sekta ya elimu kukiona - Masaju
![](http://3.bp.blogspot.com/-ncsdLsmgwwY/VloHIlOPppI/AAAAAAAAnm0/DnQOYxOUWR8/s640/MASAJU.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iaw9PLm34sA/VloH80jVexI/AAAAAAAAnnA/oVGmro-HwoY/s640/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0QaNsknZww/VloGMYuFu1I/AAAAAAAAnmM/z9fz8vt6oZU/s640/MASAJU%2BAKITOA%2BVETI%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xpcXf41puBI/VloGaovyEVI/AAAAAAAAnmc/UIlQI87V7n8/s640/MASAJU%2BAKITOA%2BVETI%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NqEf8kgnsIk/VloGVe4uUZI/AAAAAAAAnmU/iqkV3eOXVq8/s640/MASAJU%2BAKITOA%2BVETI%2B5.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete ampongeza Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Anna Mghwira wa ACT Wazalendo atuma salamu za pongezi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Uruwa waunga mkono juhudi za Dk Magufuli
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKAZI WA WFP APONGEZA UAMUZI WA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI WA KUTOWEKA ZUIO LA KUTOKA NJE (LOCKDOWN) KATIKA KIPINDI CHA MAPAMBANO YA UGONJWA WA COVID 19
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brig. Jen. Wilbert A. Ibuge na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford wakisalimiana mara baada ya kukutana kwa mazungumzo jijini Dodoma
Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford ametembelea vikundi vya wakulima vinavyofadhiliwa na miradi ya Shirika hilo Kibaigwa mkoani Dodoma. Lengo la ziara hiyo ilikuwa...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Makasisi wanaounga mkono ushoga
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s72-c/PICT%2B1.jpg)
Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s640/PICT%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ChLWGU5C00/VmkdQ6lhWvI/AAAAAAAILUA/qCqtFoEBANU/s640/PICT%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hsvWf774w14/VmkdRJbbAeI/AAAAAAAILUI/V2Ar_9G480g/s640/PICT%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GGtpUQ8JsXw/VmkdSo0z_tI/AAAAAAAILUY/085WMn6DFMc/s640/PICT%2B4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ws75Ful0n-k/VlWHWW751vI/AAAAAAAArzg/qB8yp9k-Gl4/s72-c/IMG-20151125-WA0022.jpg)
TAMKO LA JUKWAA HURU LA WAZALENDO KUUNGA MKONO HOTUBA YA MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ws75Ful0n-k/VlWHWW751vI/AAAAAAAArzg/qB8yp9k-Gl4/s640/IMG-20151125-WA0022.jpg)
Ndugu wanahabari,
Mbele yenu sisi tuliowaita hapa ni Jukwaa Huru la Wazalendo ambalo limeitisha mkutano huu ili kufikisha yale tuliyoyakusudia kuwaeleza umma wa watanzania.
Sote tunatambua kuwa nchi yetu imetoka katika uchaguzi mkuu ambao umetupatia viongozi wapya wa awamu ya tano ya...