CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli -Kinana
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema chama kinaunga mkono utendaji kazi wa Rais John Magufuli, ikiwamo kuhakikisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zinasimamia ipasavyo ulipaji wa kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Nov
CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu
CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.
Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija kwa jamii badala ya manufaa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s72-c/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s640/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8cf9ac02-75c0-49f3-8f9f-014f7118e2ab.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini Kenya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/610ad902-76de-4171-a950-c9ed91e9017b.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5X6tu4kcwEE/XqxA76CigzI/AAAAAAACKCE/DUUdwCelNJsbRff6r607Em1_cZRRIC7nwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0217.jpg)
NGEMELA: CCM INAUNGA MKONO MAZUNGUMZO KUHAKIKISHA SAHARAWI INAPATA UHURU BILA VITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5X6tu4kcwEE/XqxA76CigzI/AAAAAAACKCE/DUUdwCelNJsbRff6r607Em1_cZRRIC7nwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200501-WA0217.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaunga mkono mazungumzo yanayoendelea katika nyanja za kimataifa kuhakikisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu Saharawi inapata Uhuru kwa sababu vita vina gharama kubwa ikiwa ni pamoja na kuua watu wasio na hatia
Kimebainisha kuwa wakati wote kimekuwa kikisimamia Haki na Usawa kwa Imani yake kwamba Binadamu wote ni sawa.
Hayo yamesemwa na Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali mstaafu Ngemela Lubinga wakati akizungumza na...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Uruwa waunga mkono juhudi za Dk Magufuli
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WdaJ4iTGcog/XtoGbOZyVOI/AAAAAAACMSU/L-PFss0IuHobtLmboSemKai5OO--fnl2ACLcBGAsYHQ/s72-c/kin.jpg)
KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-WdaJ4iTGcog/XtoGbOZyVOI/AAAAAAACMSU/L-PFss0IuHobtLmboSemKai5OO--fnl2ACLcBGAsYHQ/s400/kin.jpg)
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.
Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.
Katika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ncsdLsmgwwY/VloHIlOPppI/AAAAAAAAnm0/DnQOYxOUWR8/s72-c/MASAJU.jpg)
Watakaokwamisha juhudi za Rais Dkt. Magufuli katika sekta ya elimu kukiona - Masaju
![](http://3.bp.blogspot.com/-ncsdLsmgwwY/VloHIlOPppI/AAAAAAAAnm0/DnQOYxOUWR8/s640/MASAJU.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iaw9PLm34sA/VloH80jVexI/AAAAAAAAnnA/oVGmro-HwoY/s640/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0QaNsknZww/VloGMYuFu1I/AAAAAAAAnmM/z9fz8vt6oZU/s640/MASAJU%2BAKITOA%2BVETI%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xpcXf41puBI/VloGaovyEVI/AAAAAAAAnmc/UIlQI87V7n8/s640/MASAJU%2BAKITOA%2BVETI%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NqEf8kgnsIk/VloGVe4uUZI/AAAAAAAAnmU/iqkV3eOXVq8/s640/MASAJU%2BAKITOA%2BVETI%2B5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu za Mei Mosi 2020,awataka Wafanyakazi waendelee kuchapakazi kwa juhudi na Maarifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s640/4-4-1024x944.jpg)
Mwaka huu sherehe za Mei Mosi hazitafanyika ili kuepusha mikusanyiko ya watu, ikiwa ni hatua muhimu ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
Mhe. Rais Magufuli amesema licha ya kwamba sherehe za Mei Mosi hazitafanyika mwaka...
9 years ago
StarTV07 Nov
Wakazi Ruvuma waahidi kumuunga mkono Rais Magufuli
Wakazi wa Mkoa wa Ruvuma wamesema wanaungana na Rais John Magufuli katika kuijenga Nchi kimaendeleo na kiuchumi.
Wakazi hao wamemuomba Rais Magufuli kuzipa kipaumbele changamoto zinazoukabili Mkoa wa Ruvuma kama viwanda, pembejeo za kilimo na kukuza mitaji.
Wananchi hao wamesema katika Vitabu vya Dini vinasema Roho ya Mungu ilitulia katika Maji, na Dalili ya Mvua iliyonyesha wakati anaapishwa Rais Mteule Dr John Pombe Magufuli ni ishara ya kuonyesha mkono wa Mwenyezi Mungu upo pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfUYYGOb59w/XslT6I53CNI/AAAAAAALrX8/K_wtCXYD3zYJusL_HX_pDYAuBv6ckqH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-22-768x576.jpg)
OLE SENDEKA AWATAKA WATANZANIA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfUYYGOb59w/XslT6I53CNI/AAAAAAALrX8/K_wtCXYD3zYJusL_HX_pDYAuBv6ckqH4gCLcBGAsYHQ/s640/1-22-768x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka, (kulia) akishuhudia mazishi ya mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yaliyofanyika nyumbani kwao Losokonoi Kata ya Naberera.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-14-1024x768.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka (kulia) akipokea rambirambi kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoani Manyara, Naomi Kapambala kwenye msiba wa mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM wilayani Simanjiro aliyezikwa nyumbani...