Rais Magufuli atoa salamu za Mei Mosi 2020,awataka Wafanyakazi waendelee kuchapakazi kwa juhudi na Maarifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza na kuwatakia heri Wafanyakazi wote hapa nchini ambao leo tarehe 01 Mei, 2020 wanaadhimisha siku ya wafanyakazi (Mei Mosi).
Mwaka huu sherehe za Mei Mosi hazitafanyika ili kuepusha mikusanyiko ya watu, ikiwa ni hatua muhimu ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
Mhe. Rais Magufuli amesema licha ya kwamba sherehe za Mei Mosi hazitafanyika mwaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bEAUH1cpgfs/U2Nf0FXjzNI/AAAAAAAFe3o/iokAKK-SuQw/s72-c/m11.jpg)
HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWENYE KILELE CHA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, MEI MOSI 2014, DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-bEAUH1cpgfs/U2Nf0FXjzNI/AAAAAAAFe3o/iokAKK-SuQw/s1600/m11.jpg)
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rais Magufuli atoa angalizo la utamaduni wa salamu za mikono na mabusu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YRc3rE8upbU/VUMhnuHvOZI/AAAAAAADlos/IMl8kmqjha0/s72-c/ngoma-africa_wordpress-33%2BTubingen%2BFestival%2B2014.jpg)
SALAMU ZA HERI YA MEI MOSI ,KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-YRc3rE8upbU/VUMhnuHvOZI/AAAAAAADlos/IMl8kmqjha0/s1600/ngoma-africa_wordpress-33%2BTubingen%2BFestival%2B2014.jpg)
TUZIDISHE JUHUDI KAZINI ! KAZI NI KAZI
Sherehekea MEI MOSI kwa muziki at www.ngoma-africa.com
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-JsrEeTfDbLU/U2IxC4BfoYI/AAAAAAAANag/PS3xkcMjofY/s1600/6.jpg)
SHEREHE ZA MEI MOSI MWANZA WAFANYAKAZI WAOMBA KODI IPUNGUZWE
11 years ago
MichuziWafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje walivyoshiriki Sherehe za Mei Mosi
10 years ago
Dewji Blog02 May
Sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mkoa wa Singida zafana
Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Halima Mpita (wa kwanza kushoto akishirikiana na viongozi wa ngazi mbali mbali mkaoni Singida, kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Amanzi (wa pili kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10-768x683.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato
![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s640/2-10-768x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-15-1024x913.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/16-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/12-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-2-925x1024.jpg)