Coronavirus: Rais Magufuli atoa angalizo la utamaduni wa salamu za mikono na mabusu
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya corona, akiwataka kutopuuza kwani mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10-768x683.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato
![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s640/2-10-768x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-15-1024x913.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/16-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/12-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-2-925x1024.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu za Mei Mosi 2020,awataka Wafanyakazi waendelee kuchapakazi kwa juhudi na Maarifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s640/4-4-1024x944.jpg)
Mwaka huu sherehe za Mei Mosi hazitafanyika ili kuepusha mikusanyiko ya watu, ikiwa ni hatua muhimu ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
Mhe. Rais Magufuli amesema licha ya kwamba sherehe za Mei Mosi hazitafanyika mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VF0h37h1Uow/VKP0ZpCnHkI/AAAAAAAG6xI/iR9SXNM5YXU/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATOA SALAMU ZA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VF0h37h1Uow/VKP0ZpCnHkI/AAAAAAAG6xI/iR9SXNM5YXU/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-N0_RhDuJTyc/XqVv1Bzo0UI/AAAAAAAA_k8/cdRC7cpwEtIBNpPLkYLF7yyMgTf5Ux7bwCNcBGAsYHQ/s72-c/pic%252BVP%252527S%252Bclarifies.jpg)
MAKAMU WA RAIS ATOA SALAMU MAADHIMISHO YA MIAKA 56 YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N0_RhDuJTyc/XqVv1Bzo0UI/AAAAAAAA_k8/cdRC7cpwEtIBNpPLkYLF7yyMgTf5Ux7bwCNcBGAsYHQ/s400/pic%252BVP%252527S%252Bclarifies.jpg)
Moja; Nawapongeza Watanzania wote kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya ya kuhakikisha Muungano wetu unazidi kuimarika siku hadi siku. Vilevile niwapongeze kwa kuwa na imani thabiti juu ya Muungano wetu kwa kuhakikisha mnautunza na kuuenzi kwa hali na mali.
Kupitia Muungano...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-H6t8dYNzzeg/VnUtYzlpWLI/AAAAAAAAr-o/t2bVljV5Brw/s1600/tmp_3597-Jakaya_Kikwete_2011_%2528cropped%252996447027.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DN1AL-fpJzo/Xtx77Dwx3YI/AAAAAAAC698/pp2N8FmOdNYWQrlXLHap9abJct_OGDKnwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AMTUMIA SALAMU ZA PONGEZI RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-DN1AL-fpJzo/Xtx77Dwx3YI/AAAAAAAC698/pp2N8FmOdNYWQrlXLHap9abJct_OGDKnwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais Magufuli ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kuongeza kuwa wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwa kumchagua kiongozi hiyo.
“Nakupongeza Ndg. Evariste Ndayishimiye kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Burundi. Wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwako,” ameandika Rais Magufuli.
Aidha, amewatakia heri wananchi katika shughuli za ujenzi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania