SALAMU ZA HERI YA MEI MOSI ,KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-YRc3rE8upbU/VUMhnuHvOZI/AAAAAAADlos/IMl8kmqjha0/s72-c/ngoma-africa_wordpress-33%2BTubingen%2BFestival%2B2014.jpg)
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni yenye makao yake nchini ujerumani inawatakia kila la heri watanzania wote walio nyumbani na nje ,Heri na baraka, Amani,Mshikamano na Upendo katika maadhimisho ya sherehe za siku kuu ya wafanyakazi MEI MOSI.
TUZIDISHE JUHUDI KAZINI ! KAZI NI KAZI
Sherehekea MEI MOSI kwa muziki at www.ngoma-africa.com
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EGqYpB8t-KA/U2Di7bMLurI/AAAAAAAFeIM/AUELRxikcrY/s72-c/unnamed+(4).jpg)
SALAM ZA HERI YA "MEI MOSI" KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
![](http://3.bp.blogspot.com/-EGqYpB8t-KA/U2Di7bMLurI/AAAAAAAFeIM/AUELRxikcrY/s1600/unnamed+(4).jpg)
Tafadhali pata burudani ya muziki at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
www.facebook.com/ngomaafricaband
9 years ago
VijimamboMKONO WA EID AL HAJJ KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F4mnzVOGM0I/VgMtnqnGshI/AAAAAAAH6-w/CJRlZrwMnbI/s72-c/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
MKONO WA EID MUBARAK KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-F4mnzVOGM0I/VgMtnqnGshI/AAAAAAAH6-w/CJRlZrwMnbI/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ewtvLniYpoNN6l5Iuzu4wpa8g9gkW5UyDjwmzkucK0DYSgi3Vl-Yh4uTWk81*h7JYc6vav-nT0i2XbLXXFizlfGD7j5*mnnC/ngomaafrica2001.jpg?width=650)
SALAMU ZA HERI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, NGOMAÂ AFRICA a.k.a FFU Ughaibuni, yenye makao yake nchini Ujerumani, inaungana na Watanzania wote nyumbani na ughaibuni katika kusherehekea MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA. Ngoma Africa Band inatoa salamu za heri na shangwe kwa Watanzania wote popote duniani. ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR =...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-csUrSDvPo-c/VTz2vTqo2eI/AAAAAAADkyM/RdNYnuM9V_0/s72-c/Ngoma%2BAfrica%2BBand%2B2014.jpg)
SALAMU ZA HERI YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANZANIA,KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-csUrSDvPo-c/VTz2vTqo2eI/AAAAAAADkyM/RdNYnuM9V_0/s1600/Ngoma%2BAfrica%2BBand%2B2014.jpg)
sherekea muungano kwa muziki at www.ngoma-africa.com
11 years ago
GPLSALAM ZA MEI MOSI KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule Ujerumani inatoa salamu maalum za Siku ya Wafanyakazi Duniani "MEI MOSI" a.k.a May Day. Ngoma Africa Band itawatakia kila la heri wadau wote duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Mei Mosi hapo kesho!
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WFQECWeGyPU/U9--TMxF4pI/AAAAAAAF9EM/yw3QYL6iJZQ/s72-c/unnamed+(28).jpg)
SALAM ZA NANE NANE KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFQECWeGyPU/U9--TMxF4pI/AAAAAAAF9EM/yw3QYL6iJZQ/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-er261-ZPeYU/U9--TNSdfqI/AAAAAAAF9EI/x-Pgu510PJA/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3sPl-032OjCrk4bLbgXVbclHEgVZW57Ljw3BH7FY6TUqUTWNR2Cvzux48GObPkefBGl036pVwv-*0W*0l7XzyV/ngomaafricawordpress111.jpg?width=650)
SALAMU ZA HERI YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
Ngoma Africa Band a.k.a FFU ikiwa kazini. BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, Ngoma Africa Band a.k.a FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani inawatakia kila la heri Watanzania wote walio nyumbani na nje heri na baraka, amani, mshikamano na upendo katika maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamuhuri yetu ya Muungano wa Tanzania. Tudumishe Muungano wetu daima...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YGKOwdLROJA/VWymI25YWqI/AAAAAAADpyg/2H_hpBjSe2A/s72-c/Kikosi%2Bkazi%2BNgoma%2BAfrica%2Bband%2Bwakiwajibika%2Bughaibuni.jpg)
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU WALIFUNIKA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YGKOwdLROJA/VWymI25YWqI/AAAAAAADpyg/2H_hpBjSe2A/s640/Kikosi%2Bkazi%2BNgoma%2BAfrica%2Bband%2Bwakiwajibika%2Bughaibuni.jpg)
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanazidi kudatisha ughaibuni !
Katika onyesho lao ndani ya hekalu la Uebersee Museum mjini Bremen,ujerumani usiku wa jumamosi 30 Mei 2015 bendi imeonyesha kwa kiasi kikubwa kuwa inakubalika katika hadi katika mahekalu ya kutisha,Kikosi kazi hiko maarufu kwa muziki wa dansi barani ulaya
kinachoongozwa na mwanamuziki kamanda Ras Makunja,kikiwa
na wanamuziki waliojaa vipaji akiwemo yule mcharaza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania