Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SALAMU ZA HERI YA MEI MOSI ,KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni yenye makao yake nchini ujerumani inawatakia kila la heri watanzania wote walio nyumbani na nje ,Heri na baraka, Amani,Mshikamano na Upendo katika maadhimisho ya sherehe za siku kuu ya wafanyakazi MEI MOSI.
TUZIDISHE JUHUDI KAZINI ! KAZI NI KAZI
Sherehekea MEI MOSI kwa muziki at www.ngoma-africa.com

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA HERI YA "MEI MOSI" KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule ujerumani inatoa salam maarumu za siku ya wafanyakazi duniani "MEI MOSI" aka May Day, Ngoma Africa band itawatakia kila la heri wadau wote duniani kwa kusherehekea sikukuu ya Mei Mosi
Tafadhali pata burudani ya muziki at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
www.facebook.com/ngomaafricaband

 

9 years ago

Vijimambo

MKONO WA EID AL HAJJ KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU

Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj,bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj ,sikuu hii iwe ya amani,upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.usikote kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband

 

9 years ago

Michuzi

MKONO WA EID MUBARAK KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU UGHAIBUNI

Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj.Bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj, na kusema sikuu hii iwe ya amani, upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband

 

11 years ago

GPL

SALAMU ZA HERI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, NGOMA  AFRICA a.k.a FFU Ughaibuni, yenye makao yake nchini Ujerumani, inaungana na Watanzania wote nyumbani na ughaibuni katika kusherehekea MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA. Ngoma Africa Band inatoa salamu za heri na shangwe kwa Watanzania wote popote duniani. ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR =...

 

10 years ago

Vijimambo

SALAMU ZA HERI YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANZANIA,KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni yenye makao yake nchini ujerumani inawatakia kila la heri watanzania wote walio nyumbani na nje ,Heri ba na baraka, Amani,Mshikamano na Upendo katika maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamuhuri yetu ya muungano wa Tanzania.Tudumishe Muungano wetu daima millele.Mungu Ibaraki Tanzania
sherekea muungano kwa muziki at www.ngoma-africa.com

 

11 years ago

GPL

SALAM ZA MEI MOSI KUTOKA NGOMA AFRICA BAND‏

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule Ujerumani inatoa salamu maalum za Siku ya Wafanyakazi Duniani "MEI MOSI" a.k.a May Day. Ngoma Africa Band itawatakia kila la heri wadau wote duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Mei Mosi hapo kesho!

 

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA NANE NANE KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band yenye makao yake kule Ujerumani,inatoa salam maalumu za sikuu ya nane nane kwa wadau wote walio nyumbani Tanzania na nje. Sikuu kuu ya nane nane ambayo mwaka huu 2014 inafanyika kitaifa mkoani Lindi. Kikosi cha Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni kinawatakia kila la heri na baraka katika Nane Nane oyeeee!!!! Usikose kupata burudani at http://www.ngoma-africa.com au www.ngoma-africa.com

 

10 years ago

GPL

SALAMU ZA HERI YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Ngoma Africa Band a.k.a FFU ikiwa kazini. BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, Ngoma Africa Band a.k.a FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani inawatakia kila la heri Watanzania wote walio nyumbani na nje heri na baraka, amani, mshikamano na upendo katika maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamuhuri yetu ya Muungano wa Tanzania. Tudumishe Muungano wetu daima...

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU WALIFUNIKA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI



Bremen,Ujerumani,
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanazidi kudatisha ughaibuni !
Katika onyesho lao ndani ya hekalu la Uebersee Museum mjini Bremen,ujerumani usiku wa jumamosi 30 Mei 2015 bendi imeonyesha kwa kiasi kikubwa kuwa inakubalika katika hadi katika mahekalu ya kutisha,Kikosi kazi hiko maarufu kwa muziki wa dansi barani ulaya
kinachoongozwa na mwanamuziki kamanda Ras Makunja,kikiwa
na wanamuziki waliojaa vipaji akiwemo yule mcharaza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani