NGEMELA: CCM INAUNGA MKONO MAZUNGUMZO KUHAKIKISHA SAHARAWI INAPATA UHURU BILA VITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5X6tu4kcwEE/XqxA76CigzI/AAAAAAACKCE/DUUdwCelNJsbRff6r607Em1_cZRRIC7nwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0217.jpg)
CCM, Lumumba
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaunga mkono mazungumzo yanayoendelea katika nyanja za kimataifa kuhakikisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu Saharawi inapata Uhuru kwa sababu vita vina gharama kubwa ikiwa ni pamoja na kuua watu wasio na hatia
Kimebainisha kuwa wakati wote kimekuwa kikisimamia Haki na Usawa kwa Imani yake kwamba Binadamu wote ni sawa.
Hayo yamesemwa na Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali mstaafu Ngemela Lubinga wakati akizungumza na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Dec
CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli -Kinana
10 years ago
Habarileo26 Apr
Ataka Serikali kuhakikisha uhuru wa habari kusaidia wananchi
MWANDISHI mkongwe Jenerali Ulimwengu alinyakua tuzo ya Utumishi Uliotukuka katika Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kutokana na mchango wake katika tasnia ya habari na kukemea maovu bila woga kwa kutumia kalamu yake.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Vita ya dondosha ‘mkono wa sweta’ na imani potofu
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Apollo yaunga mkono vita dhidi ya magonjwa ya moyo
Magonjwa ya moyo ni miongoni ya magonjwa duniani yanayosababisha vifo vya watu milioni 17.3 kulingana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO). Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa tarehe 29 Septemba kila mwaka kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo ikiwa na kauli mbiu kadha wa kadha kila mwaka. Ikiwa ni idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo Tanzania wanaosasifiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, Hospitali ya Apollo ya India ilifanya jitihada za kina kuanzisha hospitali ya...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu
TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s72-c/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
BENKI YA EXIM YAJIDHATITI KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA MALARIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s1600/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdpFTQha9Sc/VUCThiA9OtI/AAAAAAAHT9Y/UQeifz3WzKI/s1600/NET%2BPIX%2B2%2B-%2BMTWARA.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s72-c/24.jpg)
KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hxJZmCQYTkY/VLqt6wm1XWI/AAAAAAAAVs8/305rw5tkR-A/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u-c0i4YStOA/VLqt8EHw92I/AAAAAAAAVtI/U54sGGxCCbo/s1600/28.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iNRKN4mfkJs/VLqt99GCV1I/AAAAAAAAVtY/s8ZrDk_y5Xw/s1600/30.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOTvFtETaHk/VLquDL741hI/AAAAAAAAVt4/OaEPL04GGt0/s1600/37.jpg)
9 years ago
MichuziKOMBE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA JAMBO LEO FAGIO ZA USAFI SIKUKUU YA UHURU