Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya dondosha ‘mkono wa sweta’ na imani potofu

Wakati Serikali ikihimiza tohara ya mwanamume kama mbinu mojawapo mahususi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi, bado zipo imani potofu zinazokinzana na juhudi hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Imani potofu zinaua soka’

>Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe amesema wachezaji wengi wa Tanzania wanaamini sana imani za kishirikina kitu ambacho hakina faida kwao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujauzito na miiko, imani potofu

KWA wanaofuatilia mfululizo wa makala hizi, watakuwa wanafahamu kuwa tumefika hatua ambayo mwanamke tayari ameshapata ujauzito. Tumeeleza hatua kwa hatua mambo ambayo wenza wanapaswa kuyafanya ili kuwezesha utungaji wa ujauzito...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii yaaswa kuacha imani potofu

JAMII imetakiwa kuacha imani potofu na kutoa ushirikiano kikamilifu katika ukusanyaji wa takwimu kwa kila kaya nchini ili kuwezesha Serikali kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo katika kuboresha huduma na sera...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ushauri wa kiafya ambao ni imani potofu tu

Ushauri wa kutumia kitunguu saumu ili kujikinga na virusi vya corona ni miongoni mwa imani potofu zinazoenea mtandaoni.

 

9 years ago

Mwananchi

NYANZA: Jamii inahusisha kisukari na imani potofu- TANCDA

Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA), limesema mikoa ya Kanda ya Ziwa imekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu kutokana na kuyahusisha na imani potofu.

 

11 years ago

Michuzi

KINGUNGE AWATAKA WATANZANIA KUONDOKANA NA IMANI POTOFU JUU YA TIBA ASILIA


2 (14)Mlezi wa Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME), Kingunge Ngombale (kushoto), akifungua mafunzo kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu tiba asilia  katika ukumbi wa mikutano NIMR jijini Dar es Salaam. (kulia), Mwenyekiti wa Chama cha Utabibu wa Dawa Asili Tanzania (ATME), Bw.Simba Abdulrahmani. Kingunge amewataka Watanzania kuondokana na imani potofu dhidi ya tiba asili na badala yake watumie ili kupona maradhi mbalimbali yanayowakabili 3 (9)Lucey Samwel, kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuunge mkono kukemea mafundisho potofu ya dini

Wiki moja iliyopita katibu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Khamis Mattaka, akiwa mbele ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alitoa kauli kali ya kukemea mawaidha na mafundisho yaliyotolewa na masheikh waliotoka Oman wakiwa mkoani Kigoma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Apollo yaunga mkono vita dhidi ya magonjwa ya moyo

oragan-donation

Magonjwa ya moyo ni miongoni ya magonjwa duniani yanayosababisha vifo vya watu milioni 17.3 kulingana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO).  Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa tarehe 29 Septemba kila mwaka kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo ikiwa na kauli mbiu kadha wa kadha kila mwaka. Ikiwa ni idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo Tanzania wanaosasifiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, Hospitali ya Apollo ya India ilifanya jitihada za kina kuanzisha hospitali ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu

TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani