Ujauzito na miiko, imani potofu
KWA wanaofuatilia mfululizo wa makala hizi, watakuwa wanafahamu kuwa tumefika hatua ambayo mwanamke tayari ameshapata ujauzito. Tumeeleza hatua kwa hatua mambo ambayo wenza wanapaswa kuyafanya ili kuwezesha utungaji wa ujauzito...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Apr
‘Imani potofu zinaua soka’
>Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe amesema wachezaji wengi wa Tanzania wanaamini sana imani za kishirikina kitu ambacho hakina faida kwao.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Jamii yaaswa kuacha imani potofu
JAMII imetakiwa kuacha imani potofu na kutoa ushirikiano kikamilifu katika ukusanyaji wa takwimu kwa kila kaya nchini ili kuwezesha Serikali kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo katika kuboresha huduma na sera...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Ushauri wa kiafya ambao ni imani potofu tu
Ushauri wa kutumia kitunguu saumu ili kujikinga na virusi vya corona ni miongoni mwa imani potofu zinazoenea mtandaoni.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Vita ya dondosha ‘mkono wa sweta’ na imani potofu
Wakati Serikali ikihimiza tohara ya mwanamume kama mbinu mojawapo mahususi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi, bado zipo imani potofu zinazokinzana na juhudi hizo.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
NYANZA: Jamii inahusisha kisukari na imani potofu- TANCDA
Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA), limesema mikoa ya Kanda ya Ziwa imekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu kutokana na kuyahusisha na imani potofu.
11 years ago
Michuzi16 May
KINGUNGE AWATAKA WATANZANIA KUONDOKANA NA IMANI POTOFU JUU YA TIBA ASILIA
![2 (14)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/2-14.jpg)
![3 (9)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/3-9.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia miiko na maadili
NA KHADIJA MUSSA
MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Dk. Stephen Bwana, amewataka watumishi wa umma kujiepusha na ushabiki wa siasa za mpito, badala yake wazingatie katiba, miiko na maadili ya utumishi wa umma.
Alisema kuna upungufu katika uzingatiaji wa maadili, hivyo aliwataka watumishi hao kubadilika na kutojihusisha na ushabiki wa siasa, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu kwani hakuna nchi duniani, ambayo watumishi wake hawazingatii maadili.
Pia aliahidi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s72-c/c1.jpg)
LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s640/c1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s72-c/c1.jpg)
LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s640/c1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania