Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000


 Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMADAGASCAR imekua nchi ya kwanza barani Afrika kutangaza dawa ya asili  inayotibu virusi vya Corona ambapo Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina aliwataarifu wananchi juu ya uimara wa dawa hiyo na Mei 03, 2020 Rais wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli aliuhakikishia umma juu ya Serikali ambayo hailali kwa Kuhakikisha wananchi wote wanakua salama na  kueleza kuwa yupo tayari kutuma ndege nchini Madagascar ili kuleta dawa ambayo itawasaidia watanzania waliopatwa na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000

 Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMADAGASCAR imekua nchi ya kwanza barani Afrika kutangaza dawa ya asili  inayotibu virusi vya Corona ambapo Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina aliwataarifu wananchi juu ya uimara wa dawa hiyo na Mei 03, 2020 Rais wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli aliuhakikishia umma juu ya Serikali ambayo hailali kwa Kuhakikisha wananchi wote wanakua salama na  kueleza kuwa yupo tayari kutuma ndege nchini Madagascar ili kuleta dawa ambayo itawasaidia watanzania waliopatwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania ina waganga wa jadi na wakunga wa tiba asili 75,000 huku 6000 pekee ndio wamesajiliwa

Msajili Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Mboni Zuwena Bakari, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari,

Msajili Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Mboni Zuwena Bakari, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akielezea kuhusu maendeleo ya tiba hiyo. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Tiba Asilia na Tiba Mbadala, Dk. Paulo Mhame na kulia ni Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Catherine Sungura.

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Imeelezwa kuwa Tanzania ina waganga wa jadi na wakunga wa tiba asili 75000 ambaapo waliosajiliwa pekee...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'

Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya kukabiliana na maradhi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

IBRAHIMU SOKOINE: Licha Uwaziri Mkuu, baba hakuacha asili

>Watu wengi wakipata fedha na madaraka hubadilika, baadhi huacha mila na desturi zao na kuiga asili nyingine. Lakini Edward Sokoine aliendelea kuwa Mmasai, mfugaji na mwanakijiji licha ya kuwa Waziri Mkuu. Mmoja wa watoto wake, Ibrahim Sokoine anasimulia alipozungumza na Mwandishi Wetu Peter Saramba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Kagera ina walemavu 150,000’

ASAS ya kiraia ya Karagwe Community Based Rehabilitation Program (KCBRT), imesema kuwa, mkoa wa Kagera una jumla ya walemavu 150,000, wanaokabiliwa na changamoto mblimbali. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000

Baada ya Sekta Binafsi kuendesha sekta ya reli pasi na mafanikio ya kuridhisha, mwaka 2011, Serikali iliamua kutengua rasmi mkataba wake na Kampuni ya Reli ya India ya Rites.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani

Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

UPEKEE WA RAIS MAGUFULI

Na Emmanuel J. Shilatu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anasifikia kuwa na sifa kuu 3 ambazo ni Uzalendo, Uadilifu na Uchapa kazi. Nje ya utambuzi huo Rais Magufuli amejipambanua kuwa ni Kiongozi mwenye maono, utashi wa kisiasa na uthubutu wa hali ya juu unaomfanya aweze kukwamua yaliyoshindikana na aweze kuweka historia isiyofutika kwa Taifa kwa vizazi na vizazi.

Twende pamoja utaelewa nachokisema. Suala la Serikali kuhamia Dodoma lilikuwapo tangu mwaka 1973...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani