Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IBRAHIMU SOKOINE: Licha Uwaziri Mkuu, baba hakuacha asili

>Watu wengi wakipata fedha na madaraka hubadilika, baadhi huacha mila na desturi zao na kuiga asili nyingine. Lakini Edward Sokoine aliendelea kuwa Mmasai, mfugaji na mwanakijiji licha ya kuwa Waziri Mkuu. Mmoja wa watoto wake, Ibrahim Sokoine anasimulia alipozungumza na Mwandishi Wetu Peter Saramba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000

 Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMADAGASCAR imekua nchi ya kwanza barani Afrika kutangaza dawa ya asili  inayotibu virusi vya Corona ambapo Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina aliwataarifu wananchi juu ya uimara wa dawa hiyo na Mei 03, 2020 Rais wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli aliuhakikishia umma juu ya Serikali ambayo hailali kwa Kuhakikisha wananchi wote wanakua salama na  kueleza kuwa yupo tayari kutuma ndege nchini Madagascar ili kuleta dawa ambayo itawasaidia watanzania waliopatwa na...

 

5 years ago

CCM Blog

LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000


 Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMADAGASCAR imekua nchi ya kwanza barani Afrika kutangaza dawa ya asili  inayotibu virusi vya Corona ambapo Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina aliwataarifu wananchi juu ya uimara wa dawa hiyo na Mei 03, 2020 Rais wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli aliuhakikishia umma juu ya Serikali ambayo hailali kwa Kuhakikisha wananchi wote wanakua salama na  kueleza kuwa yupo tayari kutuma ndege nchini Madagascar ili kuleta dawa ambayo itawasaidia watanzania waliopatwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Uwaziri mkuu ni moto

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema kuwa nafasi hiyo siyo ya kuing’ang’ania au kuililia kwa kuwa ni kama moto.

 

9 years ago

Raia Mwema

Uwaziri Mkuu ni cheo tata?

WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub

Joseph Magata

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake

SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao

 

Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.

Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu  wa Tanzania  hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka  mashada ya maua kwenye kaburi la  mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AVUTIWA NA KASI YA MABADILIKO SOKOINE

*Maprofesa waomba kuongezewa muda wa kustaafu
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga uongezaji thamani wa mazao ya kilimo (Agri-processing).
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Oktoba 9, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya SUA mara baada ya kutembelea chuo hicho na kukagua utekelezaji wa mradi wa Sayansi na Teknolojia ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Lomu hakuacha pesa zozote alipofariki

Mchezaji nyota wa mchezo wa raga kutoka New Zealand Jonah Lomu alikuwa mkarimu sana na hakuacha pesa zozote alipofariki.

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZURU KABULI LA WAZIRI MKUU WA ZAMANI EDWARD SOKOINE

 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiweka shada la Maua kwenye kabuli la Waziri Mkuu wa zamani,Hayati Edward Sokoine Moringe,ambapo pia akiwa na baadhi  ya wajumbe wa kamati ya ushindi ya kampeni ya CCM,walishiriki sala ya pamoja ya kumuombea Marehemu. Mke wa Marehemu Sokoine akisaidiwa kuweka shada la maua
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli (wa pili kushoto),akiwa ameambatana na baadhi  ya wajumbe wa kamati ya ushindi ya kampeni ya CCM,wakishiriki sala ya pamoja ya kumuombea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani