Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lomu hakuacha pesa zozote alipofariki

Mchezaji nyota wa mchezo wa raga kutoka New Zealand Jonah Lomu alikuwa mkarimu sana na hakuacha pesa zozote alipofariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Lomu, mcheza Rugby maarufu aaga dunia

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya New Zealand ya mchezo wa raga Johan Lomu amefariki dunia

 

11 years ago

BBCSwahili

Bensouda:Sikabiliwi na shinikizo zozote

Kiongozi wa mashitaka ICC, Fatou Bensouda amekanusha madai kuwa anakabiliwa na shinikizo za kisiasa kufutilia mbali kesi dhidi ya Uhuru na Ruto.

 

11 years ago

Mwananchi

IBRAHIMU SOKOINE: Licha Uwaziri Mkuu, baba hakuacha asili

>Watu wengi wakipata fedha na madaraka hubadilika, baadhi huacha mila na desturi zao na kuiga asili nyingine. Lakini Edward Sokoine aliendelea kuwa Mmasai, mfugaji na mwanakijiji licha ya kuwa Waziri Mkuu. Mmoja wa watoto wake, Ibrahim Sokoine anasimulia alipozungumza na Mwandishi Wetu Peter Saramba.

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

9 years ago

GPL

MERCY JOHNSON: SIPATI HISIA ZOZOTE NINAPOIGIZA SEHEMU ZA MAPENZI

Mcheza sinema maarufu wa kike wa Nigeria, Mercy Johnson. Mcheza sinema maarufu wa kike wa Nigeria, Mercy Johnson, amesema huwa hasikii na haruhusu hisia au mhemko wowote kumpata wakati anaigiza sehemu zinazohusu mapenzi. Mwigizaji huyo alielezea hilo majuzi akijibu swali aliloulizwa iwapo huwa anapata athari yoyote kuhusu sehemu hizo za uigizaji ambapo alisema: “Wakati kuna haja ya kuigiza sehemu ya mapenzi, huwa ninafunga...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...

 

10 years ago

Bongo5

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani