Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MERCY JOHNSON: SIPATI HISIA ZOZOTE NINAPOIGIZA SEHEMU ZA MAPENZI

Mcheza sinema maarufu wa kike wa Nigeria, Mercy Johnson. Mcheza sinema maarufu wa kike wa Nigeria, Mercy Johnson, amesema huwa hasikii na haruhusu hisia au mhemko wowote kumpata wakati anaigiza sehemu zinazohusu mapenzi. Mwigizaji huyo alielezea hilo majuzi akijibu swali aliloulizwa iwapo huwa anapata athari yoyote kuhusu sehemu hizo za uigizaji ambapo alisema: “Wakati kuna haja ya kuigiza sehemu ya mapenzi, huwa ninafunga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAPENZI SIYO HISIA, NI UHALISIA!

KUNA watu wanaweza kupatwa na mshangao kwa kichwa cha habari hapo juu. Watajikuta wakishangaa kwa sababu siku zote wamekuwa wakielewa kuwa mapenzi ni hisia, kwa sababu yanamwendesha mtu vile anahisi. Leo nataka kuwahakikishia kuwa kamwe, jambo hili siyo hisia, bali ni uhalisia! Inaweza kuwa vigumu kuelewa mara moja maana yangu, lakini kuna mifano rahisi na mifupi ninaweza kukupa ili uelewe maana yangu. Kunywa maji wakati ukiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia kupoteza hisia za mapenzi

Lipo jambo muhimu analopaswa kuzingatia kila aiye kwenye uhusiano ikiwa anataka kutosheka na penzi la mpenzi wake.

 

11 years ago

GPL

HISIA NA MSISIMKO UNAVYO-POTEA KATIKA MAPENZI!

WAKATI fulani unatakiwa kujihakikishia kuwa, mke au mume uliyenaye anakuwa wako wa maisha yako yote. Kuapa tu mbele ya viongozi wa dini, kuwa atakuwa wako, haitoshi! Kuna mengi zaidi ya kufanya. Kazi ya viongozi wa dini, mila au serikali ni kuwaunganisha tu. Kazi yao humalizikia hapo, sasa suala la furaha ya ndoa ni kazi yenu wenyewe kama wanandoa mkiwa ndani. Ndugu zangu, hivi umeshawahi kujiuliza; kwa nini mwanandoa anatoka...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hizi ndizo hisia tata za mapenzi ya kweli

KATIKA suala la uhusiano wa kimapenzi, hapana shaka mpenzi mwenye kumpenda mpendwa wake kwa dhati hisia zake za kimapenzi huwa tofauti sana na yule mwenye mapenzi ya ulaghai.

Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli hisia zake hugusa kutoka ndani ya moyo wake, ambapo wakati mwingine si rahisi hata pale mmoja anapojaribu kumshauri au kumshawishi kuhusu jambo fulani baya juu ya ampendaye akaweza kuelewa.

Mpenzi wa namna hii huwa kama mjinga ambaye ukimtishia nyau au bastola ya watoto atoe pesa...

 

5 years ago

CNBC

Johnson & Johnson says human testing of its coronavirus vaccine to begin by September

Johnson & Johnson says human testing of its coronavirus vaccine to begin by September  CNBCView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mwananchi

WIVU WA MAPENZI: Mke amkata mume sehemu za siri

>Mkazi wa Kijiji cha Majimaji, Kata ya Chalinze, wilayani Tunduru (jina linahifadhiwa), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri mume wake.

 

10 years ago

GPL

MICHEPUKO: MWANAUME ANG'ATWA SEHEMU NYETI AKILAZIMISHA KUFANYA MAPENZI NA RAFIKI WA MKEWE

Maria Ionita akiwa na mumewe, Florin Ionita hospitalini. MWANAUME aitwaye Florin Ionita, 53, ameng'atwa sehemu yake nyeti na rafiki wa mkewe wakati akijaribu kumlazimisha afanye naye mapenzi. Wauguzi waliokuwa wakimpatia huduma Florin Ionita. Florin Ionita na mkewe Maria Ionita, 49, walikuwa katika karamu huko Chisinau nchini Moldova wakiwa na rafiki wa mkewe. Baada ya karamu hiyo, Maria aliamua kuwapeleka baadhi ya marafiki...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bensouda:Sikabiliwi na shinikizo zozote

Kiongozi wa mashitaka ICC, Fatou Bensouda amekanusha madai kuwa anakabiliwa na shinikizo za kisiasa kufutilia mbali kesi dhidi ya Uhuru na Ruto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani