Hizi ndizo hisia tata za mapenzi ya kweli
KATIKA suala la uhusiano wa kimapenzi, hapana shaka mpenzi mwenye kumpenda mpendwa wake kwa dhati hisia zake za kimapenzi huwa tofauti sana na yule mwenye mapenzi ya ulaghai.
Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli hisia zake hugusa kutoka ndani ya moyo wake, ambapo wakati mwingine si rahisi hata pale mmoja anapojaribu kumshauri au kumshawishi kuhusu jambo fulani baya juu ya ampendaye akaweza kuelewa.
Mpenzi wa namna hii huwa kama mjinga ambaye ukimtishia nyau au bastola ya watoto atoe pesa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLHIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 1
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 2
9 years ago
Bongo Movies07 Oct
Hizi ndizo sababu za Bonge la Nyau Kudatishwa na Irene Paul
Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso.
Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huyo.
“Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper huyo.
“Ni mtu ambaye nakuwa naangalia sana kazi zake. Lakini ni mtu ambaye mimi mwenyewe nikimuona najihisi kuna kitu. Unajua yule ni mzuri, ni...
9 years ago
VijimamboHIZI NDIZO AHADI ZA CCM UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015
Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.
Ilani hiyo, iliyoandaliwa na makada wake 32 wakiongozwa na Stephen Wasira, imeanisha jinsi chama hicho kikongwe kilivyotekeleza baadhi ya ahadi zake katika ilani ya mwaka 2010-2015 na kutaja ahadi...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mr Chuz: Hizi ndizo kanuni 10 za maisha yangu ya kila siku
10 years ago
Vijimambo22 Apr
PICHA HIZI NDIZO ZILIZOTUMIA KUMMALIZA KIJANA KWA HUKUMU YA KIFO.
10 years ago
Bongo Movies06 May
Hizi Ndizo Tambo za Asha Boko Kwa Komediani wa Hapa Bongo
Staa wa Bongo Movies ambaye ni moja kati ya wachekeshaji wakongwe, Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.
“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja...