MAPENZI SIYO HISIA, NI UHALISIA!
![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ZWNb-iINwn5dX0rhQnQePwzECRqttJgJse4Yn-jPl2hgcvOVZQDag2AJnDjUCw*uVIFZwgGCiGN5EmAfP3Gum4/h.jpg)
KUNA watu wanaweza kupatwa na mshangao kwa kichwa cha habari hapo juu. Watajikuta wakishangaa kwa sababu siku zote wamekuwa wakielewa kuwa mapenzi ni hisia, kwa sababu yanamwendesha mtu vile anahisi. Leo nataka kuwahakikishia kuwa kamwe, jambo hili siyo hisia, bali ni uhalisia! Inaweza kuwa vigumu kuelewa mara moja maana yangu, lakini kuna mifano rahisi na mifupi ninaweza kukupa ili uelewe maana yangu. Kunywa maji wakati ukiwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mambo yanayochangia kupoteza hisia za mapenzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxjSZ7da3I-Vj77JtwJIrZ5QT47bbNYh6lr7LX2nt-D67T3EXB789RDAyWsNwOu*94QY*htU8-dpA0EgQmq*WxUG/mahaba.jpg?width=650)
HISIA NA MSISIMKO UNAVYO-POTEA KATIKA MAPENZI!
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Hizi ndizo hisia tata za mapenzi ya kweli
KATIKA suala la uhusiano wa kimapenzi, hapana shaka mpenzi mwenye kumpenda mpendwa wake kwa dhati hisia zake za kimapenzi huwa tofauti sana na yule mwenye mapenzi ya ulaghai.
Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli hisia zake hugusa kutoka ndani ya moyo wake, ambapo wakati mwingine si rahisi hata pale mmoja anapojaribu kumshauri au kumshawishi kuhusu jambo fulani baya juu ya ampendaye akaweza kuelewa.
Mpenzi wa namna hii huwa kama mjinga ambaye ukimtishia nyau au bastola ya watoto atoe pesa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xVOZcU6TAXRCb3auw9KDOr21f2cuREJJZLqKdXPSFa3W8h6WqACK5wiOX4ka9m0PV83wqPijxWS6NvbNxUtcMOKD-EvNqzNP/MercyJohnsonDecember2013BellaNaija03.jpg?width=650)
MERCY JOHNSON: SIPATI HISIA ZOZOTE NINAPOIGIZA SEHEMU ZA MAPENZI
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Valentine ya sasa, siyo upendo, ni mapenzi?
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Mapenzi siyo kitu muhimu kwangu, hapa kazi tu
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sXUZNx4-URk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Waigizaji vaeni uhalisia