Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapenzi siyo kitu muhimu kwangu, hapa kazi tu

Anajiita Angelina Jolie wa Bongo na hata ukimtazama unaweza kukubaliana naye. Mbali ya kutojiremba kupitiliza, bado anafanana na mwigizaji huyo wa Marekani kwa mbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOHARI: RAY NI KILA KITU KWANGU!

Brighton masalu
PATAMU hapo! Diva wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema msanii mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’ ndiye kila kitu maishani mwake kutokana na msaada aliompa wa kumtoa kisanii na kumsapoti kwa mambo mengi kikazi. Diva wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. ‘Akianika mwanya’ katika mazungumzo na Amani juzikati, Johari alisema haoni sababu ya kuficha...

 

10 years ago

GPL

JOKATE: ALI KIBA NI KILA KITU KWANGU

Na Musa Mateja
MREMBO mchakarikaji Bongo,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, juzikati aliamua kuvunja ukimya na kusema kuwa mwanamuziki Ali Kiba kwa sasa ndiye kila kitu katika mambo yake mengi ya kimaisha. Mrembo mchakarikaji Bongo,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Akizungumza na Ijumaa Jokate alisema, watu wanaongea sana kuhusiana na ukaribu wao bila kujua kuwa Kiba ni mtu wake kitambo na sasa ndiye kila kitu...

 

9 years ago

Mwananchi

Raqey : Familia ndiyo kila kitu kwangu

Sanaa ya Tanzania kwa namna moja ama nyingine inazidi kukuwa kadri miaka inavyozidi kwenda huku vipaji vingi vikiibuka. Japo ushindani mkubwa wa kazi bora bado hauonekani kutokana na kuwa ni wachache wameweza kuongeza ubunifu katika utendaji kazi.

 

10 years ago

GPL

RAY: CHUCHU SASA NDO’ KILA KITU KWANGU

Stori: Musa Mateja
LEGENDARY kwenye anga la sanaa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa mpenzi wake wa sasa, Chuchu Hans ndiye kila kitu na kilichobaki ni ndoa tu. Legendary kwenye anga la sanaa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans.
Akizungumza na paparazi wetu, Ray alisema licha ya kupitia katika changamoto nyingi za mapenzi lakini kwa Chuchu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya:Siku Zote Niatamuheshimu Ray, Ni Mtu Muhimu Sana Kwangu

‘Shukrani’ ni kitu muhimu na ni jambo jema sio hapa dunia tu  hata huko mbinguni (Kwa wanoamini), ni vyema kumshuru  Mungu kwa kila jambo na vile vile kuwashukuru watu ambao kwa namna moja au nyingine wamekusaidia kufikia hapo ulipo.

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya amekuwa sio mchoyo wa fadhira kwa kumshukuru hadharani muongozaji na mwigizaji wa filamu  Vicent Kigosi ‘Ray’ kwa kuwa ni moja ya watu waliomsaidia katika sanaa.

Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM,...

 

10 years ago

GPL

KOSEA KUCHAGUA KILA KITU, LAKINI SIYO MWENZA-2

Karibu mpenzi msomaji wangu katika safu hii ya mapenzi na maisha. Wiki iliyopita niliishia pale niliposema kwamba, ni dhahiri kwamba, katika uhusiano kila mmoja aliyemkubali mwenzake aliamua kutoka moyoni kwamba ndiye chaguo lake. Nilisema kwamba, wengi walidiriki kugombana na ndugu zao, marafiki au hata kukejeliwa na jamii kwa sababu ya kuwa na uhusiano na mtu f’lani lakini kwa vile waliona ndiyo chaguo waliamua liwalo...

 

10 years ago

GPL

KOSEA KUCHAGUA KILA KITU, LAKINI SIYO MWENZA

Namshukuru Mungu kwa ajili ya Jumanne ya leo. Naamini neema ya Mungu ingalipo kwangu, ndiyo maana amenijalia kufika. Sijatumia ufundi wala kipaji, ni matakwa yake yeye.
Mada ya wiki iliyopita, Je, Ungekuwa Hujafanyiwa Kitchen Party iliisha kwa pongezi kadhaa huku wengi wakisema wamejifunza kitu. Lakini wapo walionipinga wakisema mada yangu haikuwa sahihi kwa sababu katika uhusiano pande zote zinaweza kusababisha mtu kubadili...

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania

Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona amesema mchakato wa Katiba hautakiwi kusubiri wananchi wasambaziwe nakala ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa Watanzania hawapendi kusoma na badala yake wanapenda “taarifa fulani fulani” tu.

 

10 years ago

GPL

MAPENZI SIYO HISIA, NI UHALISIA!

KUNA watu wanaweza kupatwa na mshangao kwa kichwa cha habari hapo juu. Watajikuta wakishangaa kwa sababu siku zote wamekuwa wakielewa kuwa mapenzi ni hisia, kwa sababu yanamwendesha mtu vile anahisi. Leo nataka kuwahakikishia kuwa kamwe, jambo hili siyo hisia, bali ni uhalisia! Inaweza kuwa vigumu kuelewa mara moja maana yangu, lakini kuna mifano rahisi na mifupi ninaweza kukupa ili uelewe maana yangu. Kunywa maji wakati ukiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani