Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania

Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona amesema mchakato wa Katiba hautakiwi kusubiri wananchi wasambaziwe nakala ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa Watanzania hawapendi kusoma na badala yake wanapenda “taarifa fulani fulani” tu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKOA WA DODOMA UMEPOKEA NAKALA 61,290 ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA AJILI YA KUZIGAWA KWA WANANCHI

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mapokezi ya nakala za katiba inayopendekezwa na maendeleo ya usambazaji wake kwa wananchi Mkoani Dodoma mapema leo. Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa ya mapokezi na usabazaji kwa wananchi wa Nakala za… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Amani ya Burundi ni muhimu kwa Watanzania

Wiki hii Tanzania imeanza mchakato wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi ulioibuka baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Julai 21 na mgombea wa chama cha CNDD-FDD, Pierre Nkurunziza kutetea kiti chake cha urais.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Migiro akabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa walemavu, taasisi za kidni na asasi za kiraia

WKS Kundecha

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akimkabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa mwakilishi wa Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislam Sheikh Mussa Kundecha katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). (Picha: Farida Khalfan, Wizara ya Katiba na Sheria).

WKS - Albino

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MIGIRO AKABIDHI NAKALA ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WALEMAVU, TAASISI ZA KIDNI NA ASASI ZA KIRAIAB

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Watanzania wametakiwa kuisoma katiba inayopendekezwa kwa umakini ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika kuandika historia mpya ya nchi.
Hayo aliyasema leo Waziri wa Katiba na Sheria,Dkt. Asha-Rose Migiro wakati akikabidhi katiba inayopendekezwa kwa makundi mbalimbali,Migiro  amesema nchi itaandika historia mpya baada ya kupata katiba mpya.
Alisema wananchi wakisoma katiba kwa umakini kutasaidia kufikia matarajio katika kutengeneza ramani ya nchi kwa kuvuka...

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba itapatikana kwa maridhiano, siyo takwimu

Ni masikitiko makubwa kwamba nchi yetu imepoteza fursa nzuri ya kupata Katiba mpya iliyotarajiwa na wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Butiku: Elimu kwa umma muhimu kupata Katiba

MJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku, ametaka elimu kuhusu mchakato wa Katiba itolewe kwa Watanzania walio wengi, ili siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa dhamira yao wenyewe.

 

9 years ago

Mwananchi

Mapenzi siyo kitu muhimu kwangu, hapa kazi tu

Anajiita Angelina Jolie wa Bongo na hata ukimtazama unaweza kukubaliana naye. Mbali ya kutojiremba kupitiliza, bado anafanana na mwigizaji huyo wa Marekani kwa mbali.

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba zaanza kusambazwa Mbeya

Wakati viongozi wa Kata za Mbalizi, Halmashauri ya Mbeya wakidai kupokea nakala chache za Katiba Iliyopendekezwa, uongozi wa halmashauri hiyo umesema umegawa nakala saba kwa kila kitongoji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani