Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Butiku: Elimu kwa umma muhimu kupata Katiba

MJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku, ametaka elimu kuhusu mchakato wa Katiba itolewe kwa Watanzania walio wengi, ili siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa dhamira yao wenyewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maridhiano ni muhimu katika kupata Katiba Mpya

Jana katika gazeti hili tulichapisha habari Rais Jakaya Kikwete akiwataka Umoja wa Katiba wa Wananchi (Ukawa, waliosusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wake, kurejea ili kutunga Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Maridhiano muhimu kupata Katiba Mpya, nchi bora, imara na yenye ustawi wa uhakika

BAADHI ya Watanzania wanaamini kwamba kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu kwa hivi sasa, ipo haja ya kuwa na maridhiano kati ya wanasiasa wetu na vilevile makubaliano kati ya watawala na watawaliwa juu ya jinsi watawaliwa wanavyotaka watawala waendeshe nchi na mambo yao,  kwa manufaa ya watawaliwa na siyo watawala peke yao.

 

11 years ago

Michuzi

Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda akiongea na waandishi wa habari leo mjini Dodoma juu ya mambo mbalimbali ikiwemo kuwaomba wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuepuka mivutano na badala yake wazingatie mambo muhimu yatakayosaidia Taifa na Watanzania kupata Katiba mpya .

 

11 years ago

Michuzi

PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA

BAADHI YA MAOFISA KUTOKA MFUKO WA PESHENI KWA WATUMISHI WA Umma 'PSPF' WAKIWA TAYALI KUWASIKILIZA WATU MBALIMBALI KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA WAKATI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA. Afisa uendeshaji wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma 'PSPF'  Bw,Hadji Jamadary kulia  akimpatia maelezo Bw,Arbogast Nzeyimana wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma Ofisa masoko wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma'PSPF' Bi, Rahma Ngassa kulia akimpatia mahelezo mmoja ya wananchi...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO MUHIMU KWA UMMA KUIBIWA KWA STAKABADHI ZA SERIKALI (EXCHEQUER RECEIPT VOUCHERS)

Ofisi ya Madini, Kanda ya Mashariki Dar es Salaam inautangazia Umma kwamba, usiku wa Jumapili ya kuamkia tarehe 03-08-2015 wezi walivunja Ofisi ya Madini Kanda ya Mashariki iliyopo Upanga, Dar es Salaam na kuiba vitu mbalimbali vya Ofisi vikiwemo vitabu vya Stakabadhi za malipo ya Serikali.

Katika tukio hilo, stakabadhi namba ERV 6361601-6361800, na ERV 6361201, 6361202, 6361203, 6361204ziliibwa.

Aidha, vitabu vipya vinane (8) vyenye Stakabadhi namba 6360201-6360400, 6360401-6360600,...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MUHIMU KWA UMMA JUU YA KUIBIWA KWA STAKABADHI ZA SERIKALI (EXCHEQUER RECEIPT VOUCHERS)

Ofisi ya Madini, Kanda ya Mashariki Dar es Salaam inautangazia Umma kwamba, usiku wa Jumapili ya kuamkia tarehe 03-08-2015 wezi walivunja Ofisi ya Madini Kanda ya Mashariki iliyopo Upanga, Dar es Salaam na kuiba vitu mbalimbali vya Ofisi vikiwemo vitabu vya Stakabadhi za malipo ya Serikali.

Katika tukio hilo, stakabadhi namba ERV 6361601-6361800, na ERV 6361201, 6361202, 6361203, 6361204ziliibwa.

Aidha, vitabu vipya vinane (8) vyenye Stakabadhi namba 6360201-6360400, 6360401-6360600,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu kwa jamii muhimu kutambua dawa bandia

KAZI ya kuhakikisha afya ya mlaji na mtumiaji wa bidhaa inakuwa salama inafanywa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Tume ya Ushindani  na Mamlaka ya Viwango (TBS). Kwa sasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

OMARI KIPUTIPUTI: Elimu ya biashara muhimu kwa vijana

“ILI taifa liweze kuwa na maendeleo ni lazima liwe na watu wasomi wanaoweza kufanya kazi zao kwa kuzalisha mali badala ya kukaa na kusubiria misaada kutoka kwa wafadhili.” Hiyo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani