Maridhiano muhimu kupata Katiba Mpya, nchi bora, imara na yenye ustawi wa uhakika
BAADHI ya Watanzania wanaamini kwamba kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu kwa hivi sasa, ipo haja ya kuwa na maridhiano kati ya wanasiasa wetu na vilevile makubaliano kati ya watawala na watawaliwa juu ya jinsi watawaliwa wanavyotaka watawala waendeshe nchi na mambo yao, kwa manufaa ya watawaliwa na siyo watawala peke yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Maridhiano ni muhimu katika kupata Katiba Mpya
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Tunahitaji katiba yenye maridhiano
MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili leo, ni kauli ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, akimtaka Rais Jakaya Kikwete, awaombe radhi Watanzania kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s72-c/download.jpg)
VODACOM NI KAMPUNI BORA YENYE MTANDAO WA UHAKIKA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s1600/download.jpg)
Vodacom imetangazwa kutokana na utafiti huo uliofanywa na magazeti hayo katika hafla ya kutangaza makampuni bora ilifanyika jana katika hoteli ya Sandton mjini...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s1600/unnamed+(11).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ET9cLUGnYg0/XlbMR-ZhGiI/AAAAAAALfoM/aa6W8SSfZe4hRrS4ys8gJ0RnnkEmiy2twCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0023-1-1024x768.jpg)
CHAURU YATARAJIA KUPATA SOKO LA UHAKIKA MSIMU HUU MPYA-CHACHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ET9cLUGnYg0/XlbMR-ZhGiI/AAAAAAALfoM/aa6W8SSfZe4hRrS4ys8gJ0RnnkEmiy2twCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0023-1-1024x768.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI
CHAMA Cha Ushirika wa Wakulima wa Umwagiliaji Mpunga Ruvu (CHAURU) ,uliopo Ruvu ,Chalinze mkoani Pwani ,kinatarajia kuondokana na kilio cha ukosefu wa soko la uhakika la mchele ,katika msimu wa mavuno 2020/2021 baada ya kupatikana mnunuzi kutoka nchini Uholanzi.
Aidha ushirika huo ,unalenga kuzalisha na kuinua mavuno kwa wakulima wake kutoka tani 4,700 walizopata msimu uliopita na kufikia tani 5,500 kwa mwaka huu.
Akielezea malengo ya msimu mpya wa kilimo cha...
10 years ago
Habarileo20 Aug
Butiku: Elimu kwa umma muhimu kupata Katiba
MJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku, ametaka elimu kuhusu mchakato wa Katiba itolewe kwa Watanzania walio wengi, ili siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa dhamira yao wenyewe.
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Sofu: Bila uhakika wa ardhi hakuna Katiba mpya
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aA5ihZ1G0ds/Uvz3PXQyzEI/AAAAAAAFM88/7XiiWUvx2Rk/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Dkt Shein afunga mkutano wa Tafakuri na maridhiano katika kuelekea Katiba mpya ya Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-aA5ihZ1G0ds/Uvz3PXQyzEI/AAAAAAAFM88/7XiiWUvx2Rk/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--AYNXH9pEDA/Uvz3Q36G6iI/AAAAAAAFM9E/MEvxUKQtKYg/s1600/unnamed+(22).jpg)