TANGAZO MUHIMU KWA UMMA JUU YA KUIBIWA KWA STAKABADHI ZA SERIKALI (EXCHEQUER RECEIPT VOUCHERS)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LqMgI5sx8ds/Vco8AXnlyZI/AAAAAAAHwHg/cAtTPTf1X38/s72-c/ss.png)
Ofisi ya Madini, Kanda ya Mashariki Dar es Salaam inautangazia Umma kwamba, usiku wa Jumapili ya kuamkia tarehe 03-08-2015 wezi walivunja Ofisi ya Madini Kanda ya Mashariki iliyopo Upanga, Dar es Salaam na kuiba vitu mbalimbali vya Ofisi vikiwemo vitabu vya Stakabadhi za malipo ya Serikali.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LqMgI5sx8ds/Vco8AXnlyZI/AAAAAAAHwHg/cAtTPTf1X38/s72-c/ss.png)
TANGAZO MUHIMU KWA UMMA KUIBIWA KWA STAKABADHI ZA SERIKALI (EXCHEQUER RECEIPT VOUCHERS)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LqMgI5sx8ds/Vco8AXnlyZI/AAAAAAAHwHg/cAtTPTf1X38/s640/ss.png)
9 years ago
Michuzi31 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yABBKPIoVaI/VQCmD5MTl4I/AAAAAAAHJrM/6OfK12FD7m0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-11%2Bat%2B11.06.35%2BPM.png)
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
TANAPA Yatoa taarifa kwa Umma juu ya Hifadhi za Taifa Mlima Meru kuunguzwa kwa moto!
Sehemu ya moto inavyoonekana ikiunguza Hifadhi ya Mlima Meru, Arusha ulioanza tokea juzi..
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Martin Loibooki akiongea na wanakijiji wa Olosinoni wanaoshiriki zoezi la kuzima moto unaonendelea kuwaka Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha jana.
Moto mkubwa umezuka mwishoni mwa wiki hii na kuunguza sehemu ya Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa chanzo cha moto huo ni vitendo haramu vya urinaji wa asali ndani ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9iv1YN9upMk/UvExD_ul5wI/AAAAAAAFK4A/50n3I_XWhKI/s72-c/New+Picture+(6).bmp)
TANGAZO KWA UMMA KUTOKA WIZARA YA FEDHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9iv1YN9upMk/UvExD_ul5wI/AAAAAAAFK4A/50n3I_XWhKI/s1600/New+Picture+(6).bmp)
Taarifa hizo ziliendelea kudai kwamba Waheshimiwa Wabunge watakapostaafu watastahili kulipwa shilingi 160 milioni kila mmoja.
Kwa kupitia tangazo hili, tunaeleza kwamba, Mheshimiwa Waziri wa Fedha hajawahi kuongea na Mwandishi wa Habari...
10 years ago
Habarileo20 Aug
Butiku: Elimu kwa umma muhimu kupata Katiba
MJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku, ametaka elimu kuhusu mchakato wa Katiba itolewe kwa Watanzania walio wengi, ili siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa dhamira yao wenyewe.
10 years ago
GPLLHRC CHATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA MWENENDO NA HATUA ZA KISHERIA KWA VIONGOZI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI