Amani ya Burundi ni muhimu kwa Watanzania
Wiki hii Tanzania imeanza mchakato wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi ulioibuka baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Julai 21 na mgombea wa chama cha CNDD-FDD, Pierre Nkurunziza kutetea kiti chake cha urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0MTvmzi6emI/Va6cQnAzB-I/AAAAAAAHq8Q/4jaJtKDXolA/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini Burundi wafanyika kwa amani
![](http://1.bp.blogspot.com/-0MTvmzi6emI/Va6cQnAzB-I/AAAAAAAHq8Q/4jaJtKDXolA/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TiryPbpJJHM/Va6cQyc2LwI/AAAAAAAHq8U/Tg8X-qLRDhY/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d8BFVztuISI/Va6cSZspAVI/AAAAAAAHq8k/FoBSoeeZSWc/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1oro46rJeZU/Va6cR3ziQCI/AAAAAAAHq8g/KmLkE455gIY/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oDGbkTeHNzE/Va6c_DD5KuI/AAAAAAAHq8w/UDGCNzpWsIA/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Wasira asifu amani na utulivu kwa Watanzania
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amesema Watanzania wamebarikiwa amani, umoja na utulivu ndiyo maana kila jambo wanalolifanya linafanikiwa bila matatizo. Wassira alisema miongoni mwa...
10 years ago
Habarileo02 Nov
Bilal ahimiza amani, umoja kwa Watanzania
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kudumisha amani na umoja wa Taifa, ikiwa ni njia pekee ya kujiletea maendeleo ya haraka badala ya kuwa mabingwa wa kukosoa kila kitu.
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Oktoba 25, siku muhimu ya mabadiliko ya Watanzania
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10