Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakala za Katiba zaanza kusambazwa Mbeya

Wakati viongozi wa Kata za Mbalizi, Halmashauri ya Mbeya wakidai kupokea nakala chache za Katiba Iliyopendekezwa, uongozi wa halmashauri hiyo umesema umegawa nakala saba kwa kila kitongoji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Katiba inayopendekezwa yaanza kusambazwa

27Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika kura ya maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa, 1,800,000 zinasambazwa Tanzania Bara na 200,000 upande wa Zanzibar.
Dk. Migiro alisema hadi kufikia juzi, jumla ya nakala 707,140 zilikuwa zimesambazwa...

 

10 years ago

Habarileo

Askofu ataka Katiba kusambazwa kwa wingi

ASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la MorogoroASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, ameishauri Serikali kusambaza nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi ili kutoa fursa kwao kuisoma na kuielewa vyema na kama ikishindikana hakuna haja ya kuharakisha itumike katika uchaguzi ujao.

 

11 years ago

Michuzi

kamati za bunge maalum la katiba zaanza kukabidhi ripoti

 Profesa  Nehemia Ossoro (wa tatu kulkia) ambaye ni mwataaluma  aliyeko  Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa  Vyuo Vikuu vya Afrika ya Mashariki na Kusini  (ESAURP akifafanua kuhusu suala la gharama ya serikali tatu(shirikishi) leo  kutokana kuwa haina vyanzo vya mapato kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe Samia Suluhu Hassan, ambaye hayupo pichani.  Mwenyekiti wa Kamati namba tisa ya Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Kidawa Hamid Salehe( kulia)akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Habarileo

Nakala 440,000 za Katiba zasambazwa

JUMLA ya nakala 443,050 za Katiba Inayopendekezwa, zimesambazwa katika taasisi 70 za serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa

>Hatimaye nakala za Katiba Inayopendekezwa zimeanza kusambazwa katika kata zote 3,800 nchini ili kuwawezesha wananchi kuelewa vyema maudhui yaliyomo kabla ya kuipigia kura ya maoni ya kuikubali au kuikataa ifikapo Aprili 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania

Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona amesema mchakato wa Katiba hautakiwi kusubiri wananchi wasambaziwe nakala ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa Watanzania hawapendi kusoma na badala yake wanapenda “taarifa fulani fulani” tu.

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba zinavyogeuka lulu mikoa ya Lindi, Mtwara

Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuahirisha Kura ya Maoni kwa ajili ya Katiba Inayopendekezwa iliyopangwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu, wadau mbalimbali walitoa maoni wakitaka fursa hiyo itumike kwa ajili ya kuzigawa nakala za katiba hiyo na kuzisambaza maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kugawa nakala milioni mbili Katiba inayopendekezwa

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amesema kila kata nchini itapata nakala 300 za Katiba Inayopendekezwa ili kuwawezesha wananchi  kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Migiro akabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa walemavu, taasisi za kidni na asasi za kiraia

WKS Kundecha

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akimkabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa mwakilishi wa Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislam Sheikh Mussa Kundecha katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). (Picha: Farida Khalfan, Wizara ya Katiba na Sheria).

WKS - Albino

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani