Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakala 440,000 za Katiba zasambazwa

JUMLA ya nakala 443,050 za Katiba Inayopendekezwa, zimesambazwa katika taasisi 70 za serikali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

440,000 get Form One places in govt schools

>A total of 438,960 pupils who passed this year’s Standard Seven national examination have been selected to join public secondary schools across the country.

 

5 years ago

Michuzi

YANGA KUCHAPISHA NAKALA 50,000 ZA JARIDA LAO

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKLABU ya Yanga inatarajia kuchapisha nakala elfu hamsini (50,000) za jarida litakalozinduliwa alhamisi ya wiki hii.
Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli  wakati wa mahojiane yake na Kituo cha Redio cha EFM leo Jijini Dar es Salaam.
Bumbuli amesema wainatarajia kuzindua jarida hilo siku ya Alhamisi hii na litasambazwa nchi nzima. 
Amesema, tayari wapo kwenye za mwisho na wanatarajia kuchapa nakala 50,000 za jarida hilo na litakuwa na makala na...

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1

Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.

Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.

“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.

“Toka...

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba zaanza kusambazwa Mbeya

Wakati viongozi wa Kata za Mbalizi, Halmashauri ya Mbeya wakidai kupokea nakala chache za Katiba Iliyopendekezwa, uongozi wa halmashauri hiyo umesema umegawa nakala saba kwa kila kitongoji.

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania

Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona amesema mchakato wa Katiba hautakiwi kusubiri wananchi wasambaziwe nakala ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa Watanzania hawapendi kusoma na badala yake wanapenda “taarifa fulani fulani” tu.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa

>Hatimaye nakala za Katiba Inayopendekezwa zimeanza kusambazwa katika kata zote 3,800 nchini ili kuwawezesha wananchi kuelewa vyema maudhui yaliyomo kabla ya kuipigia kura ya maoni ya kuikubali au kuikataa ifikapo Aprili 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba zinavyogeuka lulu mikoa ya Lindi, Mtwara

Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuahirisha Kura ya Maoni kwa ajili ya Katiba Inayopendekezwa iliyopangwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu, wadau mbalimbali walitoa maoni wakitaka fursa hiyo itumike kwa ajili ya kuzigawa nakala za katiba hiyo na kuzisambaza maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kugawa nakala milioni mbili Katiba inayopendekezwa

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amesema kila kata nchini itapata nakala 300 za Katiba Inayopendekezwa ili kuwawezesha wananchi  kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani