Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA KUCHAPISHA NAKALA 50,000 ZA JARIDA LAO

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKLABU ya Yanga inatarajia kuchapisha nakala elfu hamsini (50,000) za jarida litakalozinduliwa alhamisi ya wiki hii.
Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli  wakati wa mahojiane yake na Kituo cha Redio cha EFM leo Jijini Dar es Salaam.
Bumbuli amesema wainatarajia kuzindua jarida hilo siku ya Alhamisi hii na litasambazwa nchi nzima. 
Amesema, tayari wapo kwenye za mwisho na wanatarajia kuchapa nakala 50,000 za jarida hilo na litakuwa na makala na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nakala 440,000 za Katiba zasambazwa

JUMLA ya nakala 443,050 za Katiba Inayopendekezwa, zimesambazwa katika taasisi 70 za serikali.

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1

Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.

Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.

“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.

“Toka...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Simba 7,000/-

SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa watani wa jadi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania utakaochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo kiingilio cha chini kitakuwa ni Sh 7,000.

 

9 years ago

Habarileo

Kuziona Yanga, Azam Sh 5,000

KIINGILIO cha chini katika pambano linalosubiriwa kwa hamu la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Azam kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kimepangwa kuwa Sh 5,000.

 

10 years ago

GPL

KIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-

Geilson Santana ‘Jaja’ akishangilia goli na wachezaji wenzake. Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akishangilia. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika...

 

9 years ago

Michuzi

KUZIONA YANGA, AZAM FC KIINGILI 5,000/=

SKIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom siku ya Jumamosi kati ya Yanga SC dhidi ya Azam utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, kiingilio vha chini kikiwa ni shilingi elfu tano (5,000) kwa viti vyenye rangi ya bluu, Kijani na Machungwa.Tiketi za mchezo huo zitauzwa siku ya mchezo Jumamosi katika eneo la Uwanaj wa Taifa jijini Dar es salaam, ambapo kingilio cha juu kitakua ni Shilingi Elfu Thelathini (30,000) kwa VIP...

 

9 years ago

Michuzi

Namna ya Kuchapisha Vitabu Mtandaoni

Na Profesa Mbele
Kutokana na taarifa ninazoandika katika blogu hii, na sehemu zingine, watu wengi wanafahamu kuwa nimechapisha vitabu vyangu mtandaoni. Nimeshawasaidia waandishi kadhaa wa mataifa mbali mbali kuchapisha vitabu vyao kwa mtindo huo. Kwa upande wa Tanzania, niliwahi kuongea na wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhusu suala hilo, na nilinukuliwa katika gazeti la Mwananchi.

Mara kwa mara, watu huniulizia kuhusu kuchapisha vitabu vyao. Napenda kuongelea tena suala hili,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani