Kuziona Yanga, Azam Sh 5,000
KIINGILIO cha chini katika pambano linalosubiriwa kwa hamu la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Azam kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kimepangwa kuwa Sh 5,000.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi15 Oct
KUZIONA YANGA, AZAM FC KIINGILI 5,000/=
9 years ago
Michuzi06 Nov
KUZIONA TWIGA NA MALAWI 1,000/= TU
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Kuziona Stars, Algeria Sh5,000
10 years ago
MichuziKUZIONA SIMBA NA YANGA JUMAPILI HII NI BUKU 7 TU
Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).
Viingilio vya mchezo...
5 years ago
MichuziKUZIONA SIMBA NA YANGA BUKU 7 TU,MECHI KUPIGWA SAA 11 JIONI
Viingilio vya mchezo wa raundi ya pili ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga vyawekwa hadharani.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetangaza viingilio ni shiling 7000 kwa viti vya mzunguko, Viti vya Machungwa vikikaliwa kwa shilling 1000, VIP B na C itakuwa ni 15000 na VIP A kwa shiliing 30,000.
Taarifa hiyo iliyotolewa na TFF mapema leo, imeeleza kuwa mchezo huo utapigwa majira ya sa 11 jioni katiia Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mechi ...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Azam FC yatenga dola 70,000 kumnasa Olunga
UONGOZI wa Azam FC umemtengea dola elfu 70,000 kwa mshambuliaji wa Gor Mahia Michael Olunga na mshahara wa dola elfu nane ili aweze kutua katika klabu hiyo.
Mshambuliaji huyo ambaye anawaniwa na pia na Simba ameonekana mshambuliaji hatari katika michuano hiyo, baada ya kuonyesha uwezo kwa kufunga mabao matatu katika michezo miwili.
Simba awali walitangaza kumsajili mchezaji huyo kwa dola 20,000.
Habari kutoka ndani ya Azam FC zilieleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga dola...
9 years ago
Habarileo24 Sep
Yanga, Simba 7,000/-
SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa watani wa jadi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania utakaochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo kiingilio cha chini kitakuwa ni Sh 7,000.