KUZIONA SIMBA NA YANGA BUKU 7 TU,MECHI KUPIGWA SAA 11 JIONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wyh7qK7z9fs/Xl0xtclnE5I/AAAAAAALgbg/D242LJJ9fSUbgy_XRwaKfzFKyXTHT0QiQCLcBGAsYHQ/s72-c/othmanmichuzi-20200302-0004.jpg)
Na Zainab Nyamka, Michuzi TV
Viingilio vya mchezo wa raundi ya pili ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga vyawekwa hadharani.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetangaza viingilio ni shiling 7000 kwa viti vya mzunguko, Viti vya Machungwa vikikaliwa kwa shilling 1000, VIP B na C itakuwa ni 15000 na VIP A kwa shiliing 30,000.
Taarifa hiyo iliyotolewa na TFF mapema leo, imeeleza kuwa mchezo huo utapigwa majira ya sa 11 jioni katiia Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mechi ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s72-c/YangaSimba.jpg)
KUZIONA SIMBA NA YANGA JUMAPILI HII NI BUKU 7 TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s1600/YangaSimba.jpg)
Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).
Viingilio vya mchezo...
10 years ago
Michuzi15 Oct
KIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA BUKU SABA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
KIINGILIO KATIKA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA AZAM NA YANGA NI BUKU 5 TU!
![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Mechi hiyo itaanza saa 10 kamili jioni, na kiingilio hicho cha sh. 5,000 ni kwa viti vya rangi ya kijani na bluu vitakavyochukua jumla ya watazamaji 36,000 katika uwanja huo wenye viti 57,558.
Viingilio vingine katika mechi hiyo ambayo itatumia tiketi za elektroniki ni sh. 10,000 kwa viti vya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrvT8ZigpHppbsXF7xw*bdebYCRVUUDZkl6DnspOLPDK4VK2d2MBQRz8eL-xuc6caBBNK4tVYrXlx5jBKpdB0Jt/SIMBANAYANGA35.jpg?width=650)
KUWAONA SIMBA NA YANGA BUKU 5, AZAM KUKABIDHIWA KOMBE CHAMAZI
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
9 years ago
Michuzi25 Sep
HABARI TOKA TFF: KESHO YANGA NA SIMBA KIINGILIO KUANZIA BUKU SABA
![](http://tff.or.tz/images/derby.png)
10 years ago
Vijimambo09 Mar