HABARI TOKA TFF: KESHO YANGA NA SIMBA KIINGILIO KUANZIA BUKU SABA
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayowakutanisha watani wa jadi kati ya Simba SC dhidi ya Young Africans itachezwa kesho katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.Milango ya uwanja wa Taifa itafunguliwa saa 5 kamili asubuhi ili kutoa nafasi kwa wapenzi, wadau na washabiki kuanza kuingia mapema uwanjani.Tiketi za mchezo huo zimeshaanza kuuzwa leo Ijumaa asubuhi katika vituo vya Karume – Ofisi za TFF, Buguruni – Oilcom, Dar Live...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Oct
KIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA BUKU SABA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s72-c/download+(1).jpg)
ANGALIZO TOKA TFF - KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-
![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000.
Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
KIINGILIO KATIKA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA AZAM NA YANGA NI BUKU 5 TU!
![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Mechi hiyo itaanza saa 10 kamili jioni, na kiingilio hicho cha sh. 5,000 ni kwa viti vya rangi ya kijani na bluu vitakavyochukua jumla ya watazamaji 36,000 katika uwanja huo wenye viti 57,558.
Viingilio vingine katika mechi hiyo ambayo itatumia tiketi za elektroniki ni sh. 10,000 kwa viti vya...
10 years ago
GPLKIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-
10 years ago
MichuziMAKAMPUNI 1500 TOKA HAPA NCHINI NA 400 TOKA NJE YA NCHI YATARAJIWA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABA SABA MWAKA 2015
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s72-c/TFF+Logo.jpg)
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kiingilio ‘Kamata Pindo la Yesu’ buku 5
WADHAMINI wa uzinduzi wa video ya albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’, Kampuni ya Msama Promotions, wametangaza kiingilio cha kushuhudia uzinduzi huo utakaofanyika Agosti 3, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s72-c/YangaSimba.jpg)
KUZIONA SIMBA NA YANGA JUMAPILI HII NI BUKU 7 TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s1600/YangaSimba.jpg)
Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).
Viingilio vya mchezo...