KIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA BUKU SABA
Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000.
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi25 Sep
HABARI TOKA TFF: KESHO YANGA NA SIMBA KIINGILIO KUANZIA BUKU SABA
![](http://tff.or.tz/images/derby.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
KIINGILIO KATIKA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA AZAM NA YANGA NI BUKU 5 TU!
![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Mechi hiyo itaanza saa 10 kamili jioni, na kiingilio hicho cha sh. 5,000 ni kwa viti vya rangi ya kijani na bluu vitakavyochukua jumla ya watazamaji 36,000 katika uwanja huo wenye viti 57,558.
Viingilio vingine katika mechi hiyo ambayo itatumia tiketi za elektroniki ni sh. 10,000 kwa viti vya...
10 years ago
GPLKIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wyh7qK7z9fs/Xl0xtclnE5I/AAAAAAALgbg/D242LJJ9fSUbgy_XRwaKfzFKyXTHT0QiQCLcBGAsYHQ/s72-c/othmanmichuzi-20200302-0004.jpg)
KUZIONA SIMBA NA YANGA BUKU 7 TU,MECHI KUPIGWA SAA 11 JIONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wyh7qK7z9fs/Xl0xtclnE5I/AAAAAAALgbg/D242LJJ9fSUbgy_XRwaKfzFKyXTHT0QiQCLcBGAsYHQ/s400/othmanmichuzi-20200302-0004.jpg)
Viingilio vya mchezo wa raundi ya pili ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga vyawekwa hadharani.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetangaza viingilio ni shiling 7000 kwa viti vya mzunguko, Viti vya Machungwa vikikaliwa kwa shilling 1000, VIP B na C itakuwa ni 15000 na VIP A kwa shiliing 30,000.
Taarifa hiyo iliyotolewa na TFF mapema leo, imeeleza kuwa mchezo huo utapigwa majira ya sa 11 jioni katiia Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mechi ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s72-c/TFF+Logo.jpg)
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kiingilio ‘Kamata Pindo la Yesu’ buku 5
WADHAMINI wa uzinduzi wa video ya albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’, Kampuni ya Msama Promotions, wametangaza kiingilio cha kushuhudia uzinduzi huo utakaofanyika Agosti 3, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s72-c/YangaSimba.jpg)
KUZIONA SIMBA NA YANGA JUMAPILI HII NI BUKU 7 TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s1600/YangaSimba.jpg)
Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).
Viingilio vya mchezo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu_JIdkF33Q/VboXSUjJN8I/AAAAAAABD6g/SsmPIk2YZt0/s72-c/KAGAME-CUP-2015-TZ-square.jpg)
NUSU FAINALI KAGAME KIINGILIO BUKU TATU TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu_JIdkF33Q/VboXSUjJN8I/AAAAAAABD6g/SsmPIk2YZt0/s320/KAGAME-CUP-2015-TZ-square.jpg)
Viingilio vingine vya michezo hiyo ya kesho ni VIP A ni shilingi elfu kuni na tano (15,000) na VIP B & C, Shilingi elfu kumi (10,000) na sehemu nyingine ya uwanja iliyobakia ni shilingi elfu tatu (3,000) kwa viti vya rangi ya bluu, kijani na rangi ya chungwa....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s72-c/download+(1).jpg)
ANGALIZO TOKA TFF - KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-
![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000.
Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.