Kiingilio ‘Kamata Pindo la Yesu’ buku 5
WADHAMINI wa uzinduzi wa video ya albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’, Kampuni ya Msama Promotions, wametangaza kiingilio cha kushuhudia uzinduzi huo utakaofanyika Agosti 3, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Rose Muhando aipua ‘Kamata Pindo la Yesu’
MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Tanzania anayeongoza kwa kupigiwa upatu na mashabiki kwenye Tamasha la Pasaka, Rose Muhando, amekamilisha albamu yake ya tano inayojulikana kama ‘Kamata Pindo la Yesu’...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ByJx91FQ4oI/VI0aUt0JSUI/AAAAAAACwbE/saZhRSERo8U/s72-c/IMG_6706rose.jpg)
Rose Muhando na Kamata Pindo la Yesu kutawala Tamasha la xmass
![](http://1.bp.blogspot.com/-ByJx91FQ4oI/VI0aUt0JSUI/AAAAAAACwbE/saZhRSERo8U/s1600/IMG_6706rose.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-schEgGACWB4/U7hNRg7axPI/AAAAAAAFvNY/nqcknnt37eU/s72-c/rose.jpg)
Rose Muhando kupeleka Pindo la Yesu Mwanza
![](http://3.bp.blogspot.com/-schEgGACWB4/U7hNRg7axPI/AAAAAAAFvNY/nqcknnt37eU/s1600/rose.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Jul
KUMEKUCHA UZINDUZI WA ALBAM YA "SHIKILIA PINDO LA YESU" YA ROSE MUHANDO
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/227.jpg)
11 years ago
GPL‘PINDO LA YESU’ YA ROSE MHANDO YAZINDULIWA JANA
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
ROSE MUHANDO: Njooni tulikamate Pindo la Yesu mbele ya Sum
MALKIA wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki na Kati, mwanadada Rose Muhando, Jumapili hii atawaleta pamoja maelfu ya wapenzi na mashabiki wa muziki huo katika uzinduzi wa albamu yake ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s72-c/TFF+Logo.jpg)
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye azindua Albam ya “Shikilia Pindo la Yesu” ya Rose
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inayoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam leo likihudhuriwa na maelefu ya washabiki wa muziki wa injili, ambapo waimbaji mbalimbali wameshiriki katika uzindzi huo wakiwemo Ephraim Sekereti Kutoka Zambia, Sara K. kutoka Kenya , Upendo Kilahiro, Upendo Nkone John Lisu na...
10 years ago
Michuzi15 Oct
KIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA BUKU SABA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...