Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiingilio ‘Kamata Pindo la Yesu’ buku 5

WADHAMINI wa uzinduzi wa video ya albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’,  Kampuni ya Msama Promotions, wametangaza kiingilio cha kushuhudia uzinduzi huo utakaofanyika Agosti 3, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Rose Muhando aipua ‘Kamata Pindo la Yesu’

MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Tanzania anayeongoza kwa kupigiwa upatu na mashabiki kwenye Tamasha la Pasaka, Rose Muhando, amekamilisha albamu yake ya tano inayojulikana kama ‘Kamata Pindo la Yesu’...

 

10 years ago

Michuzi

Rose Muhando na Kamata Pindo la Yesu kutawala Tamasha la xmass

JINA la Rose Muhando ni mojawapo ya majina yanayofanya vizuri katika muziki wa Injili barani Afrika  hasa kutokana na uwezo wake jukwaani pindi anapofikisha uinjilishaji kwa waamini na mashabiki mbalimbali. Muhando ni mzaliwa wa kijiji cha Dumila, wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, Tanzania, Afrika Mashariki na ni mwimbaji wa nyimbo za injili kwa lugha ya Kiswahili ambaye umahiri wake awapo jukwaani umefanikisha kutambulika barani Afrika.  Rose atakayepanda jukwaani kuanzia Desemba...

 

11 years ago

Michuzi

Rose Muhando kupeleka Pindo la Yesu Mwanza

MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando anatarajia kutambulisha kwa mashabiki wake albamu ya Kamanda Pindo la Yesu Agosti 10 mwaka huu Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.Albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.Taarifa ya mwimbaji huyo kwa vyombo vya habari jana, ilieleza kuwa tayari mkoa wa Mwanza umekuwa chaguo lake la kwanza baada ya uzinduzi wa Dar es Salaam.“Nitazindua Diamond Jubilee Agosti 3,...

 

11 years ago

Michuzi

KUMEKUCHA UZINDUZI WA ALBAM YA "SHIKILIA PINDO LA YESU" YA ROSE MUHANDO

2Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizoko Moroco jijini Dar es salaam wakati akielezea kuhusu kukamilika kwa maadalizi ya uzinduzi wa albam ya mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando inayojulikana kama "Kamata Pindo la Yesu" maarufu FACEBOOK utakaofanyika kwenye ukumbi wa VIP Diamond Jubilee Agosti 3/ 2014 jijini Dar es salaam na kufuatiwa na maonesho mengine katika mikoa ya Tabora, Geita na Mwanza mara...

 

11 years ago

GPL

‘PINDO LA YESU’ YA ROSE MHANDO YAZINDULIWA JANA

Rose Mhando akicheka wakati wa uzinduzi wa albamu yake.  Nyuma ni  waimbaji wake.
Mchungaji Maboya akitoa neno katika uzinduzi huo.
Watu waliofurika katika tukio hilo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

ROSE MUHANDO: Njooni tulikamate Pindo la Yesu mbele ya Sum

MALKIA wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki na Kati, mwanadada Rose Muhando, Jumapili hii atawaleta pamoja maelfu ya  wapenzi na mashabiki wa muziki huo  katika uzinduzi wa albamu yake ya...

 

11 years ago

Michuzi

KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.

Kiingilio cha chini cha mechi ya kirafiki kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Malawi (Flames) itakayofanyika Jumanne (Mei 27 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 5,000.
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye azindua Albam ya “Shikilia Pindo la Yesu” ya Rose

13

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inayoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam leo likihudhuriwa na maelefu ya washabiki wa muziki wa injili, ambapo waimbaji mbalimbali wameshiriki katika uzindzi huo wakiwemo Ephraim Sekereti Kutoka Zambia, Sara K. kutoka Kenya , Upendo Kilahiro, Upendo Nkone John Lisu na...

 

10 years ago

Michuzi

KIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA BUKU SABA

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000.
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani