ROSE MUHANDO: Njooni tulikamate Pindo la Yesu mbele ya Sum
MALKIA wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki na Kati, mwanadada Rose Muhando, Jumapili hii atawaleta pamoja maelfu ya wapenzi na mashabiki wa muziki huo katika uzinduzi wa albamu yake ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRose Muhando kupeleka Pindo la Yesu Mwanza
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Rose Muhando aipua ‘Kamata Pindo la Yesu’
MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Tanzania anayeongoza kwa kupigiwa upatu na mashabiki kwenye Tamasha la Pasaka, Rose Muhando, amekamilisha albamu yake ya tano inayojulikana kama ‘Kamata Pindo la Yesu’...
11 years ago
Michuzi26 Jul
KUMEKUCHA UZINDUZI WA ALBAM YA "SHIKILIA PINDO LA YESU" YA ROSE MUHANDO
10 years ago
MichuziRose Muhando na Kamata Pindo la Yesu kutawala Tamasha la xmass
11 years ago
GPL‘PINDO LA YESU’ YA ROSE MHANDO YAZINDULIWA JANA
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye azindua Albam ya “Shikilia Pindo la Yesu” ya Rose
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inayoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam leo likihudhuriwa na maelefu ya washabiki wa muziki wa injili, ambapo waimbaji mbalimbali wameshiriki katika uzindzi huo wakiwemo Ephraim Sekereti Kutoka Zambia, Sara K. kutoka Kenya , Upendo Kilahiro, Upendo Nkone John Lisu na...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kiingilio ‘Kamata Pindo la Yesu’ buku 5
WADHAMINI wa uzinduzi wa video ya albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’, Kampuni ya Msama Promotions, wametangaza kiingilio cha kushuhudia uzinduzi huo utakaofanyika Agosti 3, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Muhando kuachia ‘Kung’uta Yesu’
MALKIA wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kuachia albamu mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Kung’uta Yesu’. Nyimbo tano katika albamu hiyo amezirekodi nchini Afrika...
9 years ago
Habarileo18 Aug
Rose Muhando matatani
MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.