Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL10 years ago
Bongo513 Dec
Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Leo ni birthday ya mwigizaji Vicenti Kigosi ray, Johari ampa salamu tata, isome hapa
Leo mwigizaji maarufu nchini Vicent kigosi - Ray anasherehehea siku yake ya kuzaliwa huku akipata salamu mbalimbali za pongezi toka kwa mastaa mbalimbali nchini.
Moja ya watu wa kwanza kwanza kumpa salamu hiyo ni swahiba na rafiki yake mkubwa, JB akifuatiwa na mpenzi wake wa zamani Johari ambaye salamu yake inadaiwa na wachunguzi wa mambo kuwa ni kwa namna flani inamponda mpenzi wa sasa wa Ray , Chuchu hans, kutokana na maneno yaliyotumika ya salamu hiyo ambayo Johari anadaiwa kuwahi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zf7PzEOOWJFQNcIIcy4579L6*L5Vh5-tfTFf-xlmIuURuvIhvM9NoPMqsI-36mubJW0aNqQ9a61zL8-oSxM*tb/yanganasimba.jpg?width=650)
MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1
10 years ago
Vijimambo06 Jan
HIKI NDICHO KIRUSI KINACHOITAFUNA SIMBA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/SAM_4246.jpg)
Simba ilikuwa tishio lakini kwa miaka ya hivi karibuni imegeuka na inaandamwa na matokeo mabovu.Mwaka 2011-2012 Simba iliambulia nafasi ya 3 katika ligi ikiwa nyuma ya Yanga na Azam, msimu wa mwaka 2013-2014 ilishika nafasi ya 4 nyuma ya Azam, Yanga na Mbeya City iliyoingia...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Vurugu ziepukwe mechi ya Simba, Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s1600/MMGM12361.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-640PnH7fRoY/VDzpeJxDEKI/AAAAAAAGqbw/Ur8NXKtT7AU/s1600/MMGM1227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wAgZiQLoFyo/VDzpYTkwujI/AAAAAAAGqbo/suxHodK-WMM/s1600/MMGM1231.jpg)
Washabiki...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Yanga yabadili refa mechi vs Simba
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/TFF-October16-2014.jpg)
Hata hivyo, mabadiliko hayo yaliyofanywa na kamati hiyo yalichelewa kufika katika sekretarieti ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambayo juzi ilimtangaza Chacha na...