Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa
Kabla ya mechi ya ‘Nani Mtani Jembe’ kati ya Yanga na Simba mashabiki wa timu hizo mbili ambao ni wasanii wa filamu, Vicent ‘Ray’ Kigosi na JB walipinga yoyote atakayefungwa atavaa jezi ya mwenzake na kumkabidhi zawadi ya shilingi milioni 1. Ray ambaye ni shabiki wa Yanga itambidi avae jezi ya Simba pamoja na kumkabidhi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-12z3gaCSKwY/VggJxkW7F2I/AAAAAAAH7Zg/-gItqRg9jE8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
BAADA YA KUFUNGWA 2-0 NA MAHASIMU WAO YANGA, SIMBA WAMLALAMIKIA REFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-12z3gaCSKwY/VggJxkW7F2I/AAAAAAAH7Zg/-gItqRg9jE8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Mkuu wa habari wa Simba leo jijini Dar es salaamTarehe 26-9-2015 jana jumamosi kulifanyika mechi ya ligi kuu ya vodacom Tanzania bara baina y a klabu yetu ya Simba na timu ya Yanga. Kwenye mchezo huo timu yetu imepoteza mchezo huo kwa kufungwa goli mbili kwa bila.
Tumeanza kuandika hvyo hapo juu kwa maksudi kuonyesha sisi Simba tumeyakubali matokeo hayo ya dakika tisini za mchezo na tutumie nafasi hii kiungwana kabisa kuwapongeza watani wetu wa jadi kwa ushindi huo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1oWjzMXbc2I/VM4aNm6nLNI/AAAAAAAHAqI/g2NPctYtV90/s72-c/DSC00253.jpg)
SIMBA YAPIGWA FAINI YA MILIONI 3/- KWA KUTOVAA JEZI ZENYE NEMBO YA MDHAMINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1oWjzMXbc2I/VM4aNm6nLNI/AAAAAAAHAqI/g2NPctYtV90/s1600/DSC00253.jpg)
Mechi hiyo namba 50 ya Ligi Kuu ya Vodacom ilichezwa Desemba 26 mwaka jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 13(7) ya Ligi Kuu inayotaka klabu kuheshimu masharti ya udhamini wa Ligi Kuu kwenye mechi zake.
Nayo Polisi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnX2*RslZP5lIr9MScZZBvrw-d23H-cJM945dHaty6ByKdz8TnZkMgmXJUSMLit8pEbT*cEHDN5dXU*sgpgsQ4H/loga.gif?width=600)
Loga amgawia jezi ya Simba, mchungaji Yanga
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s72-c/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
TBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s640/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
GPLSimba wavuna milioni 60, Yanga wakosa mamilioni
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s72-c/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
kuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto
![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s1600/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-1.jpg?width=650)