BAADA YA KIPIGO CHA YANGA, SIMBA WAJIFUA UPYA!
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-1.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA
10 years ago
Vijimambo11 Apr
BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/Jamhuri-Kihwelo-Julio.jpg)
KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.
Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.
Baada ya mechi hiyo dhidi ya...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Baada ya kipigo cha Leicester, Mourinho ahisi kusalitiwa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho (pichani) amesema anahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji wake baada ya kupata kipigo cha goli 2 kwa 1 kutoka kwa Leicester City.
Mourinho alisema ilikuwa ni sahihi kwa Leicester kuwafunga kutokana na kuwatawala kwa kipindi kikubwa cha mchezo huo huku timu yake ikionekana kucheza vizuri kwa dakika za 25 za mwanzoni na kuwafanya kuwa katika wakati mgumu kupata matokeo mazuri.
Aliongeza kuwa aamahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji...
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/OMOG.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...
9 years ago
Habarileo29 Sep
Kipigo cha Yanga kinauma — Kaburu
MAKAMU wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amesema kitendo cha timu yao kufungwa na Yanga juzi kimewaumiza, lakini hakiwarudishi nyuma, wanachukulia ni sehemu ya mchezo.
11 years ago
Mwananchi12 Jul
REKODI: Minziro: Sitasahau kipigo cha Simba
9 years ago
Habarileo23 Oct
Kiiza awafariji Simba kipigo cha Prisons
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Hamis Kiiza amesema kufungwa na Tanzania Prisons ni changamoto kwao.
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mbuna bado alia kipigo cha Simba
MCHEZAJI wa Majimaji ya Songea, Fred Mbuna amesema amesikitishwa na kipigo cha mabao 6-1, ambacho timu yake ilikipata mwishoni mwa wiki kutoka kwa Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kipigo cha Simba chamrejesha darasani Pluijm