Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA KIPIGO CHA YANGA, SIMBA WAJIFUA UPYA!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,Baada ya kuchapwa mabao 2-0 na mahasimu wao wa soka Simba SC katika mchezo wa ‘ Hisani Nani Mtani Jembe’ siku ya Jumamosi iliyopita, klabu ya Yanga SC imeamua kufikia maamuzi magumu ya kumfuta kazi kocha Marcio Maximo na ni wazi Mholanzi, Hans Van De Pluijm atachukua nafasi hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Yanga kumfukuza kazi kocha wao mara baada ya kufungwa na Simba. Ikumbukwe mwaka uliopita, Mholanzi, Ernie Brandts aliondoshwa baada ya kufungwa mabao 3-1...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL



KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.

Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.

Baada ya mechi hiyo dhidi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya kipigo cha Leicester, Mourinho ahisi kusalitiwa

1408806899769_wps_5_Chelsea_s_manager_Jose_Mo

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho (pichani) amesema anahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji wake baada ya kupata kipigo cha goli 2 kwa 1 kutoka kwa Leicester City.

Mourinho alisema ilikuwa ni sahihi kwa Leicester kuwafunga kutokana na kuwatawala kwa kipindi kikubwa cha mchezo huo huku timu yake ikionekana kucheza vizuri kwa dakika za 25 za mwanzoni na kuwafanya kuwa katika wakati mgumu kupata matokeo mazuri.

Aliongeza kuwa aamahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji...

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI

Na Bertha Lumala, Dar es Salam Kipigo cha mabao 3-0 ugenini dhidi ya El-Merrikh ya Sudan, kimemponza kocha Joseph Omog baada ya uongozi wa Azam FC kuamua kumtimua.
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...

 

9 years ago

Habarileo

Kipigo cha Yanga kinauma — Kaburu

MAKAMU wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amesema kitendo cha timu yao kufungwa na Yanga juzi kimewaumiza, lakini hakiwarudishi nyuma, wanachukulia ni sehemu ya mchezo.

 

11 years ago

Mwananchi

REKODI: Minziro: Sitasahau kipigo cha Simba

>Kocha wa JKT Ruvu, Fred Felix Minziro amesema katika maisha yake ya ukocha hatasahau kipigo cha mabao 5-0 walichokipata  Yanga kutoka kwa Simba, msimu wa 2011/2012.

 

9 years ago

Habarileo

Kiiza awafariji Simba kipigo cha Prisons

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Hamis Kiiza amesema kufungwa na Tanzania Prisons ni changamoto kwao.

 

9 years ago

Habarileo

Mbuna bado alia kipigo cha Simba

MCHEZAJI wa Majimaji ya Songea, Fred Mbuna amesema amesikitishwa na kipigo cha mabao 6-1, ambacho timu yake ilikipata mwishoni mwa wiki kutoka kwa Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipigo cha Simba chamrejesha darasani Pluijm

Kipigo cha bao 1-0 ilichokipata Yanga kutoka kwa watani wao wa jadi Simba, kimemfungua macho kocha Hans Pluijm na benchi lake la ufundi ambao wameamua kulivalia njuga tatizo la kutomiliki mpira kwa wachezaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani