Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


REKODI: Minziro: Sitasahau kipigo cha Simba

>Kocha wa JKT Ruvu, Fred Felix Minziro amesema katika maisha yake ya ukocha hatasahau kipigo cha mabao 5-0 walichokipata  Yanga kutoka kwa Simba, msimu wa 2011/2012.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kipigo cha Simba chamrejesha darasani Pluijm

Kipigo cha bao 1-0 ilichokipata Yanga kutoka kwa watani wao wa jadi Simba, kimemfungua macho kocha Hans Pluijm na benchi lake la ufundi ambao wameamua kulivalia njuga tatizo la kutomiliki mpira kwa wachezaji.

 

9 years ago

Habarileo

Mbuna bado alia kipigo cha Simba

MCHEZAJI wa Majimaji ya Songea, Fred Mbuna amesema amesikitishwa na kipigo cha mabao 6-1, ambacho timu yake ilikipata mwishoni mwa wiki kutoka kwa Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Kiiza awafariji Simba kipigo cha Prisons

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Hamis Kiiza amesema kufungwa na Tanzania Prisons ni changamoto kwao.

 

9 years ago

Habarileo

Simba bado wanung’unika kipigo cha Prisons

KIUNGO wa Simba, Awadhi Juma amewataka wachezaji wenzake kusahau kipigo walichokipata kutoka kwa Prisons badala yake waweke nguvu kwenye mechi zao zinazofuata ikiwemo mchezo dhidi ya Coastal Union ya Tanga.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,Baada ya kuchapwa mabao 2-0 na mahasimu wao wa soka Simba SC katika mchezo wa ‘ Hisani Nani Mtani Jembe’ siku ya Jumamosi iliyopita, klabu ya Yanga SC imeamua kufikia maamuzi magumu ya kumfuta kazi kocha Marcio Maximo na ni wazi Mholanzi, Hans Van De Pluijm atachukua nafasi hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Yanga kumfukuza kazi kocha wao mara baada ya kufungwa na Simba. Ikumbukwe mwaka uliopita, Mholanzi, Ernie Brandts aliondoshwa baada ya kufungwa mabao 3-1...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro

KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...

 

10 years ago

Mwananchi

Kipigo chaitesa Simba

Kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata Simba juzi dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu, kimeichanganya klabu hiyo na kuacha kila mmoja akisema lake.

 

11 years ago

GPL

Rage anusurika kipigo Simba

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage (kushoto) akiongea na wanachama wa Simba siku ya jana Jumapili. Na Sweetbet Lukonge
MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, jana Jumapili alinusurika kuchezea kichapo kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo katika Mkutano Mkuu wa Katiba uliofanyika kwenye Ukumbi wa Maofisa wa Polisi uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani