Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba bado wanung’unika kipigo cha Prisons

KIUNGO wa Simba, Awadhi Juma amewataka wachezaji wenzake kusahau kipigo walichokipata kutoka kwa Prisons badala yake waweke nguvu kwenye mechi zao zinazofuata ikiwemo mchezo dhidi ya Coastal Union ya Tanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kiiza awafariji Simba kipigo cha Prisons

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Hamis Kiiza amesema kufungwa na Tanzania Prisons ni changamoto kwao.

 

9 years ago

Habarileo

Mbuna bado alia kipigo cha Simba

MCHEZAJI wa Majimaji ya Songea, Fred Mbuna amesema amesikitishwa na kipigo cha mabao 6-1, ambacho timu yake ilikipata mwishoni mwa wiki kutoka kwa Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipa abeba lawama kipigo cha TZ Prisons

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amemtupia lawama kipa wake, Beno Kakulanya akidai kwamba alifanya uzembe wa hali ya juu hadi wakapoteza mchezo mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipigo cha Simba chamrejesha darasani Pluijm

Kipigo cha bao 1-0 ilichokipata Yanga kutoka kwa watani wao wa jadi Simba, kimemfungua macho kocha Hans Pluijm na benchi lake la ufundi ambao wameamua kulivalia njuga tatizo la kutomiliki mpira kwa wachezaji.

 

11 years ago

Mwananchi

REKODI: Minziro: Sitasahau kipigo cha Simba

>Kocha wa JKT Ruvu, Fred Felix Minziro amesema katika maisha yake ya ukocha hatasahau kipigo cha mabao 5-0 walichokipata  Yanga kutoka kwa Simba, msimu wa 2011/2012.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,Baada ya kuchapwa mabao 2-0 na mahasimu wao wa soka Simba SC katika mchezo wa ‘ Hisani Nani Mtani Jembe’ siku ya Jumamosi iliyopita, klabu ya Yanga SC imeamua kufikia maamuzi magumu ya kumfuta kazi kocha Marcio Maximo na ni wazi Mholanzi, Hans Van De Pluijm atachukua nafasi hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Yanga kumfukuza kazi kocha wao mara baada ya kufungwa na Simba. Ikumbukwe mwaka uliopita, Mholanzi, Ernie Brandts aliondoshwa baada ya kufungwa mabao 3-1...

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC, Prisons fire blanks

Inconsistent Simba SC failed to close gap on the Vodacom Premier League leaders after playing out a goalless draw against Tanzania Prisons at Sokoine Stadium yesterday.

 

9 years ago

Habarileo

Prisons wazua jambo Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema pamoja na kipigo walichopokea kutoka kwa Prisons Jumatano iliyopita, lakini bado ana matumaini ya kubeba ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu na kwamba kimempa nafasi kukifanyia mabadiliko makubwa kikosi chake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani