Rage anusurika kipigo Simba
![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3BIx1BHMs-kyHMWYoZlWVb71GVYH0vXLxUb9y0AURvP2OkVWyIj2Sflpvsq-e2K*6eScPX-Q*0nGJlZS-g3Oy*W/rage.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage (kushoto) akiongea na wanachama wa Simba siku ya jana Jumapili. Na Sweetbet Lukonge MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, jana Jumapili alinusurika kuchezea kichapo kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo katika Mkutano Mkuu wa Katiba uliofanyika kwenye Ukumbi wa Maofisa wa Polisi uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Waziri anusurika kipigo
![Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Godfrey-Zambi.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi
NA SAMWEL MWANGA, SIMIYU
NAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, amenusurika kupata kipigo kutoka kwa wakulima wa pamba katika Kijiji cha Marekano, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu.
Zambi alinusurika kupata kipigo baada ya kushindwa kutoa majibu ya kuridhisha kwa wakulima juu ya mbegu za pamba zisizoota.
Tukio hilo lilitokea juzi kijijini hapo, wakati Zambi alipofanya ziara ya kushitukiza ili kuona jinsi ununuzi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-uO54rJ35O**1MJVzARI6H1HGg5162dlh-Za06aNIMAEKs8-RXe4OMf6Xef6F0hFd-aGSyICil-Qi2l901aAlbT/mtiti.jpg)
MTITU ANUSURIKA KIPIGO
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Injinia anusurika kupata kipigo
INJINIA wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Hamis Chande, amenusurika kupigwa na wananchi wa Kijiji cha Bugulula, wilayani Geita baada ya kwenda kuangalia msingi wa jengo la Mama na Mtoto...
10 years ago
VijimamboWaziri Mahanga anusurika kipigo.
Dk. Mahanga, ambaye pia ni Mbunge wa Segerea (CCM) alikumbwa na masaibu hayo wakati wa hafla ya kuapisha...
10 years ago
Habarileo24 Apr
Chenge anusurika kipigo Chadema
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge juzi aliokolewa kwa risasi katika vurugu za kundi la wananchi, waliomvamia karibu na ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Simiyu na kusababisha taharuki katika ofisi za chama hicho.
10 years ago
GPLANUSURIKA KIPIGO KUTOKA KWA WANANCHI
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Injinia anusurika kupata kipigo Geita
INJINIA wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Hamis Chande, amenusurika kupigwa na wananchi wa Kijiji cha Bugulula, wilayani Geita baada ya kwenda kuangalia msingi wa jengo la Mama na Mtoto...
11 years ago
Mwananchi07 May
Ndugai anusurika kipigo vurugu za vijana Kongwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-kalmG*gYTl3nUd9S1OB-*C6HldDgOKNfb51UYRl3MpetZLd3o7pKgDkrBFXJ2JbY--83nWVES7xKEqOH0bMj8q/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, DIWANI CCM ANUSURIKA KIPIGO