Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro

KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMA DAWA YA KIBURI NI JEURI BASI HII NI ZAIDI YA KIBURI

Baada ya kugundua kuwa ujenzi wa nyumba hii iliyopo Bomang'ombe mkoani Kilimanjaro umeingia kwenye kiwanja chake ,mmiliki wa eneo hilo aliamua kujenga ukuta kuzunguka kiwanja chake na alivyofika katika nyumba hii alipitisha ukuta wake mlangoni.

Ukuta ukapita sebuleni mwa nyumba hiyo na kutokea nyuma ya nyumba.Na Hii ndio waswahili wanasema dawa ya Kiburi Jeuri.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

 

9 years ago

Habarileo

Ushindi wampa raha Kibadeni

USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata JKT Ruvu dhidi ya African Sports juzi umepokewa kwa mikono miwili na kocha Abdallah Kibadeni.

 

11 years ago

Mwananchi

REKODI: Minziro: Sitasahau kipigo cha Simba

>Kocha wa JKT Ruvu, Fred Felix Minziro amesema katika maisha yake ya ukocha hatasahau kipigo cha mabao 5-0 walichokipata  Yanga kutoka kwa Simba, msimu wa 2011/2012.

 

11 years ago

GPL

Wanachama Simba wampa masharti Rage

Mwenyekiti wA Simba, Ismail Aden Rage. Said Ally na Omary Mdose
KATIKA kuelekea kwenye mkutano mkuu wa Simba unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumapili kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay, baadhi ya wanachama wa klabu hiyo wamempa masharti mwenyekiti wao, Ismail Aden Rage, kuhusu agenda ya mkutano huo. Simba inatarajiwa kufanya mkutano wao ambao una ajenda moja ya kubadilisha katiba yao ambayo imepangwa na uongozi mkuu ukiongozwa...

 

10 years ago

Mwananchi

USHINDI: Simba yaibuka, yajipigia Azam

>Simba imejiweka katika mazingira mazuri ya kumaliza nafasi ya pili msimu huu baada ya kuifunga Azam pungufu kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaziaga sare, yafikiria ushindi

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza mkakati wa kupata ushindi kwenye mechi zilizosalia za Ligi Kuu msimu huu wakieleza kuwa, sare sasa basi.

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI MKUU SIMBA: Aveva apata ushindi wa kimbunga

>Evans Aveva ameula baada ya kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kiburi na Ubabe wa Makufuli

The post Kiburi na Ubabe wa Makufuli appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani