Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushindi wampa raha Kibadeni

USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata JKT Ruvu dhidi ya African Sports juzi umepokewa kwa mikono miwili na kocha Abdallah Kibadeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wachezaji Yanga SC wampa raha Maximo

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema timu yake imezidi kumpa raha kutokana na kiwango cha wachezaji kuzidi kuimarika kila siku kutokana na utayari wa wachezaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro

KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raha ya mechi bao,furahia ushindi.

Manchester Utd ilivuna magoli 4-2 mwishoni mwa wiki dhidi ya majirani zao Manchester City katika mchezo wa ligi kuu ya England.

 

11 years ago

Mwananchi

Kibadeni amfunika Logarusic

Kocha Mkuu wa Simba,  Zdavko Logarusic ‘Loga’  ametimiza mechi 10 za Ligi Kuu Bara akiwa amekusanya pointi 12  lakini amezidiwa na Abdalah Kibadeni, ambaye aliinoa na timu  hiyo kwenye mzunguko wa kwanza kwani alikusanya pointi 20 katika idadi hiyo ya mechi.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni aitisha Ethiopia

KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni amesema kikosi chake kipo imara na wamejipanga kuendeleza ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya Ethiopia.

 

9 years ago

Mwananchi

Kibadeni ampata pacha wa Maguli

Kocha wa Kilimanjaro Stars, Abdallah Kibadeni ‘King’ amesema baada ya kumkosa Mbwana Samatta amelazimika kutengeneza kombineshini mpya ya safu yake ya ushambuliaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Julio kumjaribu Kibadeni leo

Ni vita kali baina ya makocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ dhidi ya Abdallah Kibaden ‘King’.

 

11 years ago

TheCitizen

Kibadeni: Give Logarusic time

Former Simba SC head coach Abdallah Kibadeni has called on his former employers to give Zdravko Logarusic more time to settle into the job. Frustration is growing at the Msimbazi Street heavyweights following a series of unimpressive results. Simba have nicked just two points from their last four matches.

 

9 years ago

Habarileo

Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni

MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani