Ushindi wampa raha Kibadeni
USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata JKT Ruvu dhidi ya African Sports juzi umepokewa kwa mikono miwili na kocha Abdallah Kibadeni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Wachezaji Yanga SC wampa raha Maximo
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema timu yake imezidi kumpa raha kutokana na kiwango cha wachezaji kuzidi kuimarika kila siku kutokana na utayari wa wachezaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro
KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Raha ya mechi bao,furahia ushindi.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Kibadeni amfunika Logarusic
9 years ago
Habarileo26 Nov
Kibadeni aitisha Ethiopia
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni amesema kikosi chake kipo imara na wamejipanga kuendeleza ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya Ethiopia.
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Kibadeni ampata pacha wa Maguli
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Julio kumjaribu Kibadeni leo
11 years ago
TheCitizen25 Feb
Kibadeni: Give Logarusic time
9 years ago
Habarileo23 Oct
Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni
MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.