Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni
MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDc5QX4F1e0QecHqrFsqBkHrebEXi*h32zdrIRtyAYvE9PbZBezqCrsIPNAp8xMDT9PNHB2fUX-ki4A6IbzRbiy/dtyytfyty.gif)
Mwaikimba: Sifikirii kustaafu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmBjiN6lZQ2DO3-STCmCaNVfb1dWveORsO4CwzpaG86JwYV4XMTbx59yvXgPQmR9aubfZEWtn2wpp9okOb-a7q7Z/IMG20140531WA0036.jpg?width=650)
MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DT19pRWaHR9RI9M4n88ic0ReREfikXFsiOTAL*zea6GYCreb9MCFDaH5yr*oEVq22tpcxnxvgaJKP4Hc6dxcR4x/MWAIKIMBA.jpg?width=650)
Mwaikimba avuta mkoko wa milioni 18
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04at3osdMww-cEpW6MhrJ3b7ZEXst86SFSaXgFuK0ie8t*2livsU0VTGtiEM3BTUJX5abEWLiMErKOmooaQZX0Pup/okwi.jpg?width=600)
Azam: Thamani ya Mwaikimba kubwa kuliko ya Okwi
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Hall amtaja Mwaikimba mechi JKT Ruvu
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema mchezo wao ujao dhidi ya JKT Ruvu unaotarajia kufanyika Alhamisi hii kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam utakuwa mgumu na kudai watakamiwa vilivyo na mshambuliaji Gaudence Mwaikimba.
Hall amesema hiyo inatokana na mshambuliaji huyo kuwahi kukipiga Azam FC kwa misimu mitatu kabla kutemwa msimu huu na kujiunga na JKT Ruvu.
“Kuna wachezaji wa Azam kama Mwaikimba atakayepambana vikali kutuonyesha kuwa bado...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Pluijm amtabiria makubwa Ngoma
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola
MANCHESTER, ENGLAND
KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.
Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.
Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rooney amtabiria makubwa zaidi Ronaldo
![134881](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/134881-300x200.jpg)
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney, amekunwa na mafanikio aliyonayo Cristiano Ronaldo na akasema kuwa anavyoamini kuna mambo mazuri atayafanya staa huyo wa timu ya Real Madrid.
Hivi karibuni Ronaldo alifikia rekodi ya Raul ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika timu hiyo ya Real Madrid, ikiwa ni baada ya kuwa mchezaji tegemeo muda wote katika timu ya Taifa ya Ureno.
Rooney aliwahi kucheza na Ronaldo akiwa Man United kati ya mwaka 2003 na 2009 na...
9 years ago
GPLKIKONGWE MIAKA 100 AMTABIRIA MAGUFULI