Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwaikimba avuta mkoko wa milioni 18

Martha Mboma na Musa Mateja
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba, amefanikiwa kupiga hatua baada ya hivi karibuni kununua gari aina ya Toyota Brevis lenye thamani ya shilingi milioni 18. Championi lilimshuhudia Mwaikimba aliyewahi kukipiga Yanga miaka ya nyuma akiwa na ndinga yake hiyo alipokuwa akihudhuria kwenye mazoezi ya timu hiyo yanayofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar, juzi. Mwaikimba anayesadikika kuwa mrefu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASTARA AVUTA NDINGA MPYA

Stori: Gladness Mallya CHEREKO! Ikiwa umepita mwaka mmoja tangu mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ afariki dunia, msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma ameongeza ndinga mpya na kuiacha ile ya zamani kwa muda. Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma. Akizungumza na paparazi wetu, Wastara alisema gari hilo aina ya Toyota Cami alinunua kwa shilingi milioni kumi na tano na anamshukuru Mungu kwani fedha hizo zimetokana na muvi...

 

10 years ago

GPL

Mwaikimba: Sifikirii kustaafu

Aliyekuwa mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba. Na Martha Mboma
BAADA ya uongozi wa Azam FC kuwaacha wachezaji wake watatu kutokana na kumaliza mikataba yao, aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Gaudence Mwaikimba, amefunguka kuwa licha ya kuachwa ataendelea kucheza soka mahali pengine na hafikirii kustaafu kwa sasa. Azam imeachana na wachezaji hao ambao wamemaliza mikataba akiwemo beki mahiri David Mwantika, Amri Kiemba...

 

11 years ago

GPL

MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA

Mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif. Na Khadija Mngwai MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba, ameamua kuachana na ukapera baada ya hivi karibuni kufunga pingu za maisha na mzazi mwenziye, anayejulikana kwa jina la mama Genevieve. Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif baada ya kufunga… ...

 

9 years ago

Habarileo

Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni

MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

11 years ago

GPL

BARNABA, SHILOLE NGOMA DROO AVUTA NDINGA YA MIL.25

Stori: Shakoor Jongo
FEDHA inaongea. Siku chache baada ya mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kuvuta mkoko Toyota Lexus, mkali wa Bongo Fleva, Elias Barnaba naye amemjibu kwa kuvuta Mark X.                              Mkoko mpya wa mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ aina ya Toyota Lexux. Barnaba ambaye aliwahi...

 

11 years ago

GPL

Azam: Thamani ya Mwaikimba kubwa kuliko ya Okwi

Mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba, kuiongoza timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ruvu Shooting, juzi Alhamisi, uongozi wa Azam umefunguka kuwa Mwaikimba ana thamani kubwa zaidi ya mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi.…

 

9 years ago

Mtanzania

Hall amtaja Mwaikimba mechi JKT Ruvu

stewartkoreacloseupNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema mchezo wao ujao dhidi ya JKT Ruvu unaotarajia kufanyika Alhamisi hii kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam utakuwa mgumu na kudai watakamiwa vilivyo na mshambuliaji Gaudence Mwaikimba.

Hall amesema hiyo inatokana na mshambuliaji huyo kuwahi kukipiga Azam FC kwa misimu mitatu kabla kutemwa msimu huu na kujiunga na JKT Ruvu.

“Kuna wachezaji wa Azam kama Mwaikimba atakayepambana vikali kutuonyesha kuwa bado...

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.

MAIN SHOW 31ST-2893 (800x533)

“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.

“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”

Jionee picha zaidi.

MAIN SHOW 31ST-3441 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2899 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2912 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2960 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2968 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3155 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3256 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3277 (800x533)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani