Mwaikimba: Sifikirii kustaafu
![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDc5QX4F1e0QecHqrFsqBkHrebEXi*h32zdrIRtyAYvE9PbZBezqCrsIPNAp8xMDT9PNHB2fUX-ki4A6IbzRbiy/dtyytfyty.gif)
Aliyekuwa mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba. Na Martha Mboma BAADA ya uongozi wa Azam FC kuwaacha wachezaji wake watatu kutokana na kumaliza mikataba yao, aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Gaudence Mwaikimba, amefunguka kuwa licha ya kuachwa ataendelea kucheza soka mahali pengine na hafikirii kustaafu kwa sasa. Azam imeachana na wachezaji hao ambao wamemaliza mikataba akiwemo beki mahiri David Mwantika, Amri Kiemba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DT19pRWaHR9RI9M4n88ic0ReREfikXFsiOTAL*zea6GYCreb9MCFDaH5yr*oEVq22tpcxnxvgaJKP4Hc6dxcR4x/MWAIKIMBA.jpg?width=650)
Mwaikimba avuta mkoko wa milioni 18
9 years ago
Habarileo23 Oct
Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni
MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmBjiN6lZQ2DO3-STCmCaNVfb1dWveORsO4CwzpaG86JwYV4XMTbx59yvXgPQmR9aubfZEWtn2wpp9okOb-a7q7Z/IMG20140531WA0036.jpg?width=650)
MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA
10 years ago
GPLNORA: SIFIKIRII MAPENZI TENA!
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Hall amtaja Mwaikimba mechi JKT Ruvu
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema mchezo wao ujao dhidi ya JKT Ruvu unaotarajia kufanyika Alhamisi hii kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam utakuwa mgumu na kudai watakamiwa vilivyo na mshambuliaji Gaudence Mwaikimba.
Hall amesema hiyo inatokana na mshambuliaji huyo kuwahi kukipiga Azam FC kwa misimu mitatu kabla kutemwa msimu huu na kujiunga na JKT Ruvu.
“Kuna wachezaji wa Azam kama Mwaikimba atakayepambana vikali kutuonyesha kuwa bado...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04at3osdMww-cEpW6MhrJ3b7ZEXst86SFSaXgFuK0ie8t*2livsU0VTGtiEM3BTUJX5abEWLiMErKOmooaQZX0Pup/okwi.jpg?width=600)
Azam: Thamani ya Mwaikimba kubwa kuliko ya Okwi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhUw84MFOewtQ-96AfV47uajEM7Ml5b-hSgTBtoIm1LOFAejL4E*KCwdoEn6i76eFKjIi-AI8Xb90Wbz6unIGrg/tundaMAN.jpg)
TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7orYFHyfVVVY4Y9Snr--RG6igTJSHlLCdGDof9xUsGofuo1lj2stEmuiweugxu09*6zTAWSFZorSMDQCwm-Hf-W/hamisa.jpg)
HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Hemedi: Sifikirii kurekodi video nje ya nchi
NA THERESIA GASPER
MSANII wa muziki wa kizazi kipya na filamu za kibongo nchini, Hemedi Suleiman ‘PHD’, amesema hajawahi kufikiria kufanya video za nyimbo zake nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii wenye kipato cha juu.
Hemedi, ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake cha ‘Memories’, alisema anachofikiria ni kushirikiana na wasanii kutoka nje na si kufanya video nje ya nchi wakati nchini kuna mazingira ya kutosha kunogesha video zake.
“Kitu ambacho kipo kichwani mwangu kwa sasa ni...