TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA
![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhUw84MFOewtQ-96AfV47uajEM7Ml5b-hSgTBtoIm1LOFAejL4E*KCwdoEn6i76eFKjIi-AI8Xb90Wbz6unIGrg/tundaMAN.jpg)
Na Ibrahim Mussa MKALI wa kibao cha Msambinungwa, Khalid Ramadhani ‘Tunda Man’, amesema hana mpango wa kutoka kimapenzi na msanii wa filamu za maigizo, mwanadada Wema Sepetu kwa kuwa hawaendani kabisa.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb*wPh4RIeakRBwfHw0NLYMMiWlmwsuzFWH8tt6CI-0note2z96wPDPDCQbtWueCvaY6eWoYzrTkNV9r2Ida7bJC/tunda.jpg)
TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnau2eNgjtcNFay145VK6a*ik3ULovkIo44AaP05stxJCmhfhI-VMDLfn1QfQ-ZnZHXrccG8Stsc9MPc2ZBrjaN/fghdryery.gif)
VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tunda Man: Ukata ni tatizo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...
9 years ago
Bongo502 Dec
Music: Tunda Man – Mama Kijacho
![MAMA-KIJACHO](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/MAMA-KIJACHO-300x194.jpg)
Msanii Tunda Man ameachia wimbo mpya unaitwa “Mama Kijacho”. Studio A.M Records
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPLTUNDA MAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Bongo501 Sep
Music: Delilah Ft. Tunda Man — Kichuna
9 years ago
Bongo505 Dec
Tunda Man aulilia msamaha wa Matonya
![Matonya na Tunda Man](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Matonya-na-Tunda-Man-300x194.png)
Tunda Man amedai yupo tayari kumpigia magoti Matonya ili wamalize tofauti zao zilizodumu kwa kipindi kirefu.
Muimbaji huyo ambaye ameachia wimbo mpya, Mama Kijacho hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Friday Night Live cha EATV kuwa ameshachoshwa na kusikia kuhusu masuala ya kutoelewana.
“Nilimpigia simu akanitukana matusi mengi sana mpaka leo sipati jibu kwanini,” alisema. “Nilimpigia simu ili nijue tunafanyaje kuhusu video ya wimbo tuliofanya pamoja kwa sababu kuna sehemu nilipita...
9 years ago
GPLNAKUSOGEZEA 3 ZA TUNDA MAN MWEZI HUU