Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu

Mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan amekanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu baada ya kuonekana kuwa karibu zaidi katika miezi kadhaa iliyopita. Akizungumza jana kwenye kipindi cha Mkasi TV kinachorushwa kupitia kituo cha runinga cha EATV, Idris alisema hajawahi kutoka kimapenzi na Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 kama watu wanavyosema. “Kwahiyo mimi nikiwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN WAKIFANYA SHOPPING PAMOJA KWENYE SUPER MARKET

Wema Sepetu akiwa na mshindi wa big brother Idrisa Sultan maeneo ya shopping pamoja maswali ya mjini. Hapa chini picha zaidi 

 

9 years ago

Bongo5

Picha/Video: Tanesco wagundua wizi wa umeme kwenye nyuma ya Wema Sepetu, Idris Sultan akutwa ndani

20151208052550

Shirika la Umeme nchini, Tanesco limebaini wizi wa umeme nyumbani kwa Wema Sepetu.

Mafundi wa shirika hilo waliambatana na waandishi wa habari hadi kwenye nyumba hiyo na kubaini kuwa umeme unaingia moja kwa moja kwenye nyumba bila kupita kwenye mita.

Wakati mafundi hao wameingia nyumba hiyo walimkuta Idris Sultan ndani aliyejaribu kuwasihi wasiukate umeme.

20151208052550

Kukutwa kwa Idris kwenye nyumba hiyo kumetia mafuta zaidi tetesi za kuwa wawili hao wana uhusiano.

Jiunge na Bongo5.com...

 

9 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE!!: Mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu na Idris wawakivutio kuapishwa kwa Dk.Magufuli

_MG_1256

Wema Sepetu (katikati), Idris Sultan upande wa kulia na kushoto ni Mh. Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji wakipata picha ya pamoja katika jukwaa hilo la kulia ambalo lilikuwa maalum kwa wageni mbalimbali waalikwa na watu maalufu ndani na nje leo wakati wa tukio la kuapichwa kwa Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli. 

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[TEMEKE-DAR ES SALAAM] Wakati Watanzania na dunia nzima leo  Novemba 5, 2015)  imeshuhudia kuapishwa  kwa rais wa tano...

 

10 years ago

Vijimambo

IDRIS SULTAN ATUA BONGO KUTOKA BOG BROTHER AFRICA

Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa 2014, Idris Sultan, akizongwa na umati wa watu mashabiki wake huku akiwa na furaha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Idris ameibuka kidedea na kunyakua taji hilo la Big Brother Africa 2014. Kushoto kwake ni Laveda aliekuwa mshiriki mweza wa Idris.Mshindi wa Big Brother Africa 2014,Idris Sultan, akizungumza wakati akihojiwa na waandishi wa habari, baada ya kuwasili nchini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema Sepetu Akiwa na Idris Wakifanya ‘Shopping‘

Hizi ni baadhi ya picha za Staa mrembo kutoka Bongo Movies , Wema Sepetu akiwa pamoja na mshindi wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakifanya manunuzi kwenye moja ya supermarket hapo bongo.

Wawili hawa wameonekana kuwa ni watu wa karibu sana sio tu kwa muonekano wa picha hizi bali hata kwa maneno ya wema wenyewe, kwani kwenye picha hiyo hapo juu Wema aliandika maneno haya;

“Feels good wen you go to a store and u get everything u can think of.... Oh it feels better...

 

10 years ago

GPL

TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA

Na Ibrahim Mussa
MKALI wa kibao cha Msambinungwa, Khalid Ramadhani ‘Tunda Man’, amesema hana mpango wa kutoka kimapenzi na msanii wa filamu za maigizo, mwanadada Wema Sepetu kwa kuwa hawaendani kabisa.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan

IMG-20150501-WA0003

Na Modewji blog team

Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na  Zari  the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake  mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo  ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club,  akiwa na Mshindi wa Big Brother...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mume wa Dada Yake na Diamond Akanusha Kutoka na Wema

Mume wa dada yake na Diamond, Esma, Petit Man ambaye pia ni mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu, Endless Fame Film amekanusha kutoka kimapenzi na na bosi wake huyo.

Akizungumza kwenye kipindi cha na FNL cha EATV jana, Petit alisema anamheshimu Wema kama bosi wake.

“Niko na Wema huu ni mwaka wa nane inasemekana vitu hivyo hivyo,” alisema. “Lakini Wema akiwa tu karibu na mtu basi watu wanasema hivyo. Ilikuwa kwa Mirror wakasema hayo, maneno hayo ni maneno wanayoyaongea. Hakuna kitu...

 

9 years ago

Mtanzania

Wema Sepetu na zawadi kutoka kwa Dimpoz

Wema DimpozMANENO aliyoandika mrembo wa Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu katika mtandao wake wa Instagram baada ya kupewa zawadi ya simu na msanii mwenzake, Ommy Dimpoz: “Akhsante bwana Omary Nyembo a.k.a Dimpoz kwa poz kwa zawadi ya simu toka US japo imenitoa ushamba hahahahahaha!”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani