Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan

IMG-20150501-WA0003

Na Modewji blog team

Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na  Zari  the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake  mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo  ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club,  akiwa na Mshindi wa Big Brother...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU NA PICHA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA

Picha za Instagram party ya Wema Sepetu iliyofanyika Mwanza.Mambo ya Instagram party ya Wema Sepetu MwanzaPicha kwa hisani ya G Sengo Blog

 

10 years ago

Dewji Blog

Instagram Party at Jembe Beach Mwanza!

Freconic Ideaz was pleased to organize Quarterly Party Event, which was held on October 4th, 2014 from 7:00 p.m. until 4:00 a.m. at Jembe ni Jembe aka Jembe Beach Mwanza.

The nights includes Live Musical Performances, dancing, meet and greets your fans and followers, etc.

Featured Live performances by:

Wakazi, Ben Paul, Stereo and Songa

Featured music by

Dj Vasley and Dj Dommy

Hosted by

Raheem Da Prince

Instagram is among the types of social network that allows users to share information...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA

Instagram Party iliyofanyika Jembe Beach Mwanza usiku wa Oct 4, 2014 na kuhudhuliwa na mashabiki wa Instagram ambapo Wakazi, Ben Paul, Stereo na Songa walifanya onesho kali huku Madi Vasley na Dommy wakifanya vitu vyao.Mashabiki wa Instagram wakipata picha ya pamoja wakati wakiwa kwenye Instgram Party iliyofanyika Jembe Beach Mwanza.Ni ukodak Moment kwa kwenda mbele ndani ya Jembe Beach Mwanza.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Michuzi

CHEREKO LA USIKU WA SUMAI, BONGE LA PARTY LA SEND OFF LAFANYIKA JEMBE BEACH MWANZA.

Sumai Kazi (with white dress) akiwa na dada ake wakiingia eneo la ukumbi kwa kutumia boat maalum ili kujumuika na ndugu jamaa na marafiki waliofika Jembe Beach kushuhudia Send Of Party yake.Wakishuka kwa kutumia ghati tayari kuingia ukumbini.Sumai (L) akiwa na dadayake (R) sanjari body guard wake. 
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Awashukia Waandaaji wa Instagram Party, Kisa Malipo ya Mzee Majuto

Staa wa Bongo Movies  Wema Sepetu ameamaua kuwachana wazi wazi waandaaji wa Instagram Party kwa kitendo chao cha kutomlipa pesa  hadi sasa hivi staa mwenzake Mzee Majuto.

Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli. Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza. Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Awatega Team Wema, Kisa Ujumbe wa Zari-All White Party

Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amewaacha njia panda mashabiki ‘kindaki ndaki’ wa Wema sepetu maarufu kama team Wema baada ya kuweka ‘screenshot’ ya ujumbe wa tangazo la pati ya mwanadada Zari inayofahamika kama Zari All While Party.

Aunt alibandika picha hiyo (hapo juu) na kuandika maneno haya kuonyesha kuwa mekelwa na ujumbe huo.

“Voda Voda hivi Voda mnantafuta nini lakini....ya kwanza nimenyamaz ya pili nimewajibu hamsikii hii ya tatu sasa Nawauliza Mnanitaka nini Au mmetumwa???Plz...

 

10 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA YAZINDUA PROGRAMU YA MZIIKI NDANI YA ZARI WHITE PARTY

Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akimsikiliza jambo Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz (kulia) na balozi wa Mziiki ambayo ni programu ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom  Tanzania iliyozinduliwa jana wakati wa Zari White Party iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana. Msanii wa muziki wa Bongo Flavor Diamond...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani